Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbukumbu ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima

 Leo katika kukumbuka siku ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima, katika kumuenzi  wanafamilia wanafanya usajili wa "  Luteni RAJAB Ahmed MLIMA FOUNDATION."
Commando Luteni Rajab Mlima akiwa katika Special Forces ya Tanzania ndani ya Jeshi la kulinda Amani la Umoja wa Mataifa alifariki dunia katika mapambano na waasi wa M23 siku chake kabla ya kutomezwa kwa kundi hilo huko Kiwanja nchini DRC.
Luteni Rajab Mlima Foundation, itasimamia na kuendeleza mambo muhimu kwa jamii ambayo Luteni Rajab...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

True story of Ahmed Albaity..Lets all help ahmed with whatever we can

True story of Ahmed Albaity..Lets all help ahmed with whatever we can...Lets all open our heart and help each other...lets all remind ourself that anything at anytym can happen to us. We dont know who will come and help us..Lets make dua for Ahmed and pray to ALLAH (swt) for Ahmed to get better soon Inshallah

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza wakati wa kikao kilicho shirikisha Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Wabunge katika majimbo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Wakuu wa wilaya zinazopakana na mlima Kilimanjaro na mlima Meru,TANAPA na Idara ya Misitu,(kulia)ni kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Ibrahim Msengi.Naibu waziri wa TAMISEMI ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Siha ,akichangia wakati wa kikao cha kuanzishwa kwa mchakato wa uanzishwaji mfumo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.

Mhifadhi utalii katka hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akizungumza juu ya ofa iliyotangazwa na hifadhi hiyo ya kupanda mlima huo kwa siku moja na kurudi hadi kilele cha Shira.
Afisa masoko wa KINAPA ,Antypas Mgungusi akisistiza jambo wakati akizungumzia juu ya ofa ya safafri ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku akishauri wenye sherehe zao kutumia nafasi hiyo kupanda Mlima huo kwa ajili ya kufanya sherehe zao,alitaja sherehe ambazo zinaweza fanyika katika hifadhi hiyo ni pamoja na...

 

10 years ago

IPPmedia

LAAC Chairman Rajab Mbarouk


IPPmedia
LAAC Chairman Rajab Mbarouk
IPPmedia
Development projects have failed to take off this financial year due to poor collection of revenues and government's overspending on unplanned undertakings coupled with freezing of funds by donors. With only two months remaining before the 2015/16 fiscal ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlima Everest:Mlima wa Choo

Uchafu mwingi pamoja na kinyesi cha binaadamu huwachwa katika mlima wa Everest ambao ndio mlima mrefu duniani.

 

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

10 years ago

Michuzi

mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza

 Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa anasubiria kuitwa kupokea nondozzz yake ya   "BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING" katika  Chuo Kikuu cha The University Of Northampon Uingerezea akiwa na wahatimu wenziwe wikiendi hii  Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mai hazbendi wake Mbegu Diego na familia yao baada ya kulamba nondozzzz yake Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mama yake mzazi baada ya kulamba nondozzzz yake

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA Alhaji Mahami Rajab Kundya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mheshimiwa Dkt. Parseko V. Ole Kone kuomboleza kifo cha aliyepata kuwa Naibu Waziri, Mbunge na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Mheshimiwa Alhaji Mahami Rajab Kundya, aliyefariki dunia jana, Jumapili, Julai 27, 2014 mjini Zanzibar.
Katika salamu zake, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa taifa limempoteza Mzee Kundya...

 

9 years ago

Bongo5

Luteni Kalama kurejea baada ya kupata management

Msanii wa kundi la Gangwe Mobb, Luteni Kalama amesema aliamua kukaa kimya baada ya kukosa management ya kumsimamia. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV jana, Kalama alisema aliona asingeweza kufanya vizuri bila kuwa na management. “Sasa hivi nimerudi kweli kwa sababu muda ambao nimekaa kimya nilikuwa sina management. Unajua hata mtoni akina […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani