Luteni Kalama kurejea baada ya kupata management
Msanii wa kundi la Gangwe Mobb, Luteni Kalama amesema aliamua kukaa kimya baada ya kukosa management ya kumsimamia. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV jana, Kalama alisema aliona asingeweza kufanya vizuri bila kuwa na management. “Sasa hivi nimerudi kweli kwa sababu muda ambao nimekaa kimya nilikuwa sina management. Unajua hata mtoni akina […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Nov
Luteni Kalama adai Gangwe Mob itarudi ikipata management
![gangwe-mobb](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/gangwe-mobb-300x194.jpg)
Member wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Kalama amesema kitu kinacholikwamisha kundi hilo ni management na kwamba kama ikipatikana litarejea tena.
Luteni amesema kama wakipata management kundi hilo linaloundwa na yeye na Inspekta Haroun litasimama vizuri.
“Gangwe Mob kama Gangwe Mob itaendelea kuwepo sema kwa sasa hivi kila mtu anafanya project zake binafsi,” Kalama alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM jana.
“Ujue Gangwe Mob ni crew tunategemea labda tukipata meneja hivi ambaye anaweza...
9 years ago
Bongo526 Oct
Luteni Kalama kufunga ndoa na mchumba wake Bella
11 years ago
GPLLUTENI KALAMA, ISABELLA MPANDA NAO NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
ISABELA MPANDA NA LUTENI KALAMA KATIKA MTU KATI YA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s72-c/DR.jpg)
BAADA YA KUCHUKUA FOMU, DK SHEIN AELEZEA SABABU ZA KUTAKA KUREJEA MADARAKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s640/DR.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Kurejea shuleni baada ya corona: 'Watoto watakuwa na wasiwasi hasa - lakini ni kawaida'
10 years ago
Michuzi12 Dec
10 years ago
Vijimambo13 Nov
RAIS KIKWETE ATOKA HOSPITALINI BAADA YA KUPATA NAFUU
![](https://3.bp.blogspot.com/-im4ZssaVwew/VGPd89tB-QI/AAAAAAADM9Y/L87FHyVzHg8/s1600/D92A3572.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-th7Arf60apI/VGPd7fXmYvI/AAAAAAADM9A/-tIzLXA2Ldo/s640/D92A3578.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji mwishoni mwa wiki iliyopita.Kulia nia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
![](https://3.bp.blogspot.com/-yLH6j4ufXYY/VGPd84G4oXI/AAAAAAADM9I/V0aYpAW5LIA/s640/D92A3585.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wYblzgWf_dU/VGPd_a0dK7I/AAAAAAADM9o/1TYhWZNHSSM/s1600/D92A3589.jpg)