Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Luteni Kalama adai Gangwe Mob itarudi ikipata management

gangwe-mobb

Member wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Kalama amesema kitu kinacholikwamisha kundi hilo ni management na kwamba kama ikipatikana litarejea tena.

gangwe-mobb

Luteni amesema kama wakipata management kundi hilo linaloundwa na yeye na Inspekta Haroun litasimama vizuri.

“Gangwe Mob kama Gangwe Mob itaendelea kuwepo sema kwa sasa hivi kila mtu anafanya project zake binafsi,” Kalama alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM jana.

“Ujue Gangwe Mob ni crew tunategemea labda tukipata meneja hivi ambaye anaweza...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Luteni Kalama kurejea baada ya kupata management

Msanii wa kundi la Gangwe Mobb, Luteni Kalama amesema aliamua kukaa kimya baada ya kukosa management ya kumsimamia. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV jana, Kalama alisema aliona asingeweza kufanya vizuri bila kuwa na management. “Sasa hivi nimerudi kweli kwa sababu muda ambao nimekaa kimya nilikuwa sina management. Unajua hata mtoni akina […]

 

9 years ago

Bongo5

Luteni Kalama kufunga ndoa na mchumba wake Bella

Msanii wa kundi la Gangwe Mob, Luteni Kalama amesema anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni na mchumba wake Bella. Akizungumza na Friday Night Live hivi karibuni, Kalama alisema yeye na mpenzi wake Bella wapo kwenye maandalizi ya kufunga pingu za maisha. “Bella bado niko naye ni mchumba wangu na soon ndoa itafanyika. Tulikuwa hatufanyi kwaajili ya […]

 

11 years ago

GPL

LUTENI KALAMA, ISABELLA MPANDA NAO NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Bella na Kalama wakipozi ndani ya Global TV Online usiku huu. Miss Ruvuma 2008, Isabella Mpanda ‘Bella’ na mchumba’ke ambaye ni memba wa Kundi la Gangwe Mob, Karama Bakari ‘Luteni Kalama’ leo nao wapo ndani ya Global TV Online kwa ajlii ya mahojiano kwenye kipindi cha Mtu Kati!

 

11 years ago

GPL

ISABELA MPANDA NA LUTENI KALAMA KATIKA MTU KATI YA GLOBAL TV ONLINE

Wapenzi wa muda mrefu ambao ni wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Isabela Mpanda na Luteni Kalama walipohojiwa ndani ya Global TV Online kwenye kipindi cha Mtu Kati! Kwa vipindi zaidi kutoka GLOBAL TV ONLINE, INGIA: …

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi adai kukosa management kumemrudisha nyuma

Hussein Machozi amewataka mashabiki wake kujua kuwa tatizo linalomkwamisha kupiga hatua zaidi katika muziki wake ni kukosa management. Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Hussein alisema nguvu yake binafsi anayotumia ndio imeishia hapo alipo sasa. “Watanzania wanataka ukitoa ngoma na ukiki jumla. Kumbuka kwamba nilipokuwa nikifanya vile nilikuwa kwenye management na sasa hivi nafanya […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol adai alikuwa haamini kama atafanikiwa bila kuwa na management

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema alikuwa haamini kama ataweza kutoka kimuziki bila kuwa na managament ya kumsimamia. “Mimi nilivyotoka kwenye lebo mwaka 2011, nilikuwa sina confidence ya kusema kwamba nitaweza kufanya muziki mwenyewe, sina record label. Lakini marafiki zangu wachache waliokuwa wanasikiliza nyimbo zangu na wengine ambao walikuwa kwenye media, walikuwa wanatumia nguvu yao […]

 

9 years ago

Bongo5

Ibra Da Hustler adai ili Nako 2 Nako irudi inahitaji management

Ibra Da Hustler

Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibra Da Hustler, amesema kuwa kundi hilo linaweza kurudi tena ila linahitaji management ya kulisimamia kutokana na muziki kubadilika.

Ibra Da Hustler

Da Hustler alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wa kundi hilo hawakuwa na tofauti kubwa kama watu wanavyodhani.

“Ibra Da Hustler na Nako 2 Nako tupo fresh, sema tulikuwa na ups and downs ambazo ni za kawaida, lakini kiukweli tupo fresh tu,” alisema.

“Hatushindwi kurudi, sema game sasa hivi ni gumu so...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

11 years ago

GPL

ISABELA: KALAMA AMENITULIZA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda amekiri kuwa mpenzi wake, Luteni Kalama ndiye aliyemtuliza  mapepe aliyokuwa nayo. Miss Ruvuma 2008, Isabella Mpanda ‘Bella’ na mchumba’ke ambaye ni memba wa Kundi la Gangwe Mob, Karama Bakari ‘Luteni Kalama’.
Akistorisha na safu… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani