Ibra Da Hustler adai ili Nako 2 Nako irudi inahitaji management
Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibra Da Hustler, amesema kuwa kundi hilo linaweza kurudi tena ila linahitaji management ya kulisimamia kutokana na muziki kubadilika.
Da Hustler alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wa kundi hilo hawakuwa na tofauti kubwa kama watu wanavyodhani.
“Ibra Da Hustler na Nako 2 Nako tupo fresh, sema tulikuwa na ups and downs ambazo ni za kawaida, lakini kiukweli tupo fresh tu,” alisema.
“Hatushindwi kurudi, sema game sasa hivi ni gumu so...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
G-Nako adai ubinafsi ni chanzo cha makundi mengine kuvunjika
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/WIsvJYf7ihc/default.jpg)
10 years ago
Bongo507 Dec
9 years ago
Bongo525 Dec
New Video: Chabba f/ G-Nako – Chapaa
![20151224043649](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151224043649-1-300x194.jpg)
Video ya rapper wa Arusha, Chabba akimshirikisha G-Nako. Wimbo unaitwa Chappa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo511 Dec
New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo
9 years ago
Mtanzania03 Sep
G. Nako kutoka na Niki wa Pili
NA THERESIA GASPER
MWANA hip hop, George Mdeme ‘G. Nako’ kutoka kundi la Weusi, anatarajia kuachia video ya wimbo wake wa ‘Laini’ hivi karibuni akiwa ameshirikiana na msanii mwanzake, Nickson Simon ‘Niki wa Pili’.
“Wimbo huu niliufanyia chini ya prodyuza Nahreel, nataraji kufanya video yake wakati wowote nina imani ni wimbo mzuri na utakubalika vema na mashabiki wangu kama walivyopokea nyimbo zangu zilizotangulia,’’ alisema.
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-H6WV--261DI/VIlwW7nsvsI/AAAAAAAABR8/dY7rMT5rLt8/s72-c/Joh%2BMakini%2BXO%2B(1).jpg)
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-ErNZ0rXGAqY/VCFNszbiqWI/AAAAAAAABKI/KNaNe1BmY9Y/s72-c/Gnako%2BInsta.jpg)
9 years ago
Bongo521 Sep
Izzo Bizness awashirikisha Mwana FA na G-Nako