Wabunge wa CCM wametishwa kupitisha muswada wa gesi — Mbarouk
HIVI karibuni Bunge lilichafuka baada ya wabunge wa upinzani kugomea miswada ya mafuta na gesi kwa walichokieleza kuwa imeletwa kwa dharura. Mwandishi Wetu MARY VICTOR, amefanya mahojiano na mmoja wa wabunge wa upinzani kuelezea ni kwa nini walikuwa wanagomea miswada hiyo. Endelea…
Raia Tanzania: Kwa hiki kilichotokea bungeni kwa wabunge wa upinzani hususan wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupinga Muswada wa Sheria ya Petroli, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Wanajeshi na Polisi wavamia bunge la El Salvador kulishinikiza kupitisha muswada
11 years ago
Mwananchi06 May
Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wabunge 33 wapitisha muswada bungeni
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wabunge EALA wajadili muswada wa vyama vya ushirika
Na Mwandishi wetu
WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) walio katika kamati ya ya kilimo, Utalii na Maliasili wamekutana kujadili muswada wa sheria ya ushirika wa pamoja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Isabelle Ndahayo, alisema kuwa wamekutana kuupitia muswada wa sheria kuhusiana na vyama vya ushirika ili sheria watakazozipitisha zisaidie vyama hivyo.
Ndahayo alisema kuwa kukutana kwao kutasaidia nchi zilizokatika jumuiya hiyo kwani sheria hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s72-c/EAC.jpg)
WABUNGE WA TANZANIA WATOKA NJE YA BUNGE LA EALA WAKIGOMEA MUSWADA WA BANDARI AMBAO HAUNA MASLAHI NA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s640/EAC.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa Tanzania kwenye bunge la Afrika mashariki wametoka nje ya bunge akigomea kuletwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za bandari ambao hauna maslahi na taifa letu.
Akiongea nje ya ukumbi wa bunge hilo Mariamu Ussi Yahaya alisema kuwa muswada huo unaotakiwa kuletwa utaounguza mapato ya bandari zetu hivyo hauna maslahi kwa taifa letu.
Alieleza kuwa nchi zenye bandari kwenye jumuiya hiyo ni Tanzania na Kenya hivyo kuletwa kwake ndani ya bunge kwa wakati huu sio...
10 years ago
Habarileo01 Jul
Wabunge, Serikali wavutana gesi
WABUNGE wameishauri Serikali isifanye haraka kwa kuwasilisha bungeni miswada ya sheria kuhusiana na masuala ya mafuta na gesi kwa sababu mawazo yao hivi sasa yapo katika Uchaguzi Mkuu na wana mgogoro wa utulivu wa mawazo na fikra.
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Wabunge wacharukia mikataba ya gesi asilia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-Kabwe-October28-2014.jpg)
Usiri katika mikataba 26 ya utafiti na uchimbaji wa gesi umezidi kuigubika nchi, baada ya menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kukaidi maagizo ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na hivyo kuzua mvutano mkubwa kati yake na kamati hiyo kikaoni.
Maagizo hayo ambayo yalitolewa na PAC mwaka jana, yaliitaka menejimenti ya TPDC kuwasilisha taarifa ya mapitio ya mikataba hiyo pamoja na mikataba...
10 years ago
IPPmedia12 Apr
LAAC Chairman Rajab Mbarouk
IPPmedia
IPPmedia
Development projects have failed to take off this financial year due to poor collection of revenues and government's overspending on unplanned undertakings coupled with freezing of funds by donors. With only two months remaining before the 2015/16 fiscal ...