Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika
Bunge la Bajeti linaanza vikao vyake mjini Dodoma leo, huku Serikali ikiwa imeshindwa kutekeleza Bajeti ya mwaka 2013/14 kutokana na kukosa fedha na kusababisha miradi mbalimbali ya maendeleo na shughuli za Serikali na taasisi zake kukwama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Wabunge wa CCM wametishwa kupitisha muswada wa gesi — Mbarouk
HIVI karibuni Bunge lilichafuka baada ya wabunge wa upinzani kugomea miswada ya mafuta na gesi kwa walichokieleza kuwa imeletwa kwa dharura. Mwandishi Wetu MARY VICTOR, amefanya mahojiano na mmoja wa wabunge wa upinzani kuelezea ni kwa nini walikuwa wanagomea miswada hiyo. Endelea…
Raia Tanzania: Kwa hiki kilichotokea bungeni kwa wabunge wa upinzani hususan wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupinga Muswada wa Sheria ya Petroli, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Bajeti yawachanganya wabunge
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Bajeti yawagawa wabunge
BAJETI Kuu ya Serikali iliyosomwa jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya, imewagawa wabunge ambapo baadhi wameiponda, huku wengine wakiisifia.
Baadhi ya wabunge hao wakiwamo wa vyama vya upinzani na chama tawala CCM, walisema bajeti hiyo haina jambo jipya na imezidi kuongeza mzigo wa umasikini kwa wananchi.
LUHAGA MPINA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), alisema kupandisha ushuru wa mafuta ya taa, petroli na dizeli ni kuongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi kwa sababu ongezeko lolote...
10 years ago
Mwananchi29 May
BAJETI: Wabunge wamshukia Nyalandu
11 years ago
Habarileo16 Jun
Wabunge waanza kuijadili bajeti
WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
10 years ago
Mwananchi09 May
Inashangaza wabunge kulipua Bajeti ya Elimu
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti