Bajeti yawachanganya wabunge
Dar es Salaam. Wakati Serikali imetangaza mapendekezo ya mfumo wa mapato na matumizi yake kwa mwaka 2015/16 yenye vipaumbele vinne, baadhi ya wabunge, akiwamo Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Dk Festus Limbu wameiponda wakisema haikuwashirikisha wadau katika uandaaji na kwamba haina kipya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Bajeti yawagawa wabunge
BAJETI Kuu ya Serikali iliyosomwa jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya, imewagawa wabunge ambapo baadhi wameiponda, huku wengine wakiisifia.
Baadhi ya wabunge hao wakiwamo wa vyama vya upinzani na chama tawala CCM, walisema bajeti hiyo haina jambo jipya na imezidi kuongeza mzigo wa umasikini kwa wananchi.
LUHAGA MPINA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), alisema kupandisha ushuru wa mafuta ya taa, petroli na dizeli ni kuongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi kwa sababu ongezeko lolote...
11 years ago
Habarileo16 Jun
Wabunge waanza kuijadili bajeti
WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
10 years ago
Mwananchi29 May
BAJETI: Wabunge wamshukia Nyalandu
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Wabunge 10 watikisa mjadala wa bajeti 2015
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Wabunge wasijadili Bajeti kwa ushabiki
10 years ago
Mwananchi09 May
Inashangaza wabunge kulipua Bajeti ya Elimu
11 years ago
Mwananchi06 May
Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika