Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge 10 watikisa mjadala wa bajeti 2015

Wakati Bunge likitarajiwa kupiga kura kesho kupitisha Bajeti, mjadala wa makadirio na matumizi hayo ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16 ulitarajiwa na kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao, huku wabunge 10 wakitoa kauli ambazo zilisisimua chombo hicho cha kutunga sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPOKEA MAPENDEKEZO YA MFUMO WA BAJETI KWA MWAKA 2014/2015 KATIKA UKUMBI WA MWAL. NYERERE,JIJINI DAR

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akitoa maneno ya utangulizi kwa Waheshimiwa Wabunge wakati wa semina ya wabunge wote kwa ajili ya uwasilishwaji wa mapendekezo ya mfumo wa bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Uhusiano Mhe. Steven Wazira akiwasilisha mwelekeo wa hali ya uchumi kwa mwaka 2014/2015 kwa waheshimiwa wabunge Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum akiwasilisha Mapendekezo ya Mfumo wa Mapato na Matumizi ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge saba watikisa Bunge

>Wabunge saba wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa Bunge la Bajeti ulipoanza kutokana na michango yao binafsi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge watano watikisa Bunge la 19

Wabunge watano wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa 19 wa Bunge ulipoanza kutokana na michango yao binafsi katika mijadala ya miswada ya sheria mbalimbali iliyowasilishwa bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala mkali wabunge kuteuliwa kuwa mawaziri

SUALA la mawaziri kuwa wabunge au hapana, limezua mjadala mkali katika vikao vya kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 10, Salmin Awadhi Salmin, alisema katika kamati yake mjadala kuhusu Rasimu ya Katiba ni mzuri na wajumbe wamekuwa wakitoa hoja mbalimbali za kuiboresha.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti

Bunge Maalumu la Katiba liko katika mapumziko hadi Agosti 5 mwaka huu, hatua ambayo ilifikiwa kwa lengo la kupisha uendeshaji wa Bunge la Bajeti.

 

10 years ago

Mtanzania

Bajeti yawagawa wabunge

bulaya-akitoa-maoniBAJETI Kuu ya Serikali iliyosomwa jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya, imewagawa wabunge ambapo baadhi wameiponda, huku wengine wakiisifia.
Baadhi ya wabunge hao wakiwamo wa vyama vya upinzani na chama tawala CCM, walisema bajeti hiyo haina jambo jipya na imezidi kuongeza mzigo wa umasikini kwa wananchi.

LUHAGA MPINA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), alisema kupandisha ushuru wa mafuta ya taa, petroli na dizeli ni kuongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi kwa sababu ongezeko lolote...

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti yawachanganya wabunge

Dar es Salaam. Wakati Serikali imetangaza mapendekezo ya mfumo wa mapato na matumizi yake kwa mwaka 2015/16 yenye vipaumbele vinne, baadhi ya wabunge, akiwamo Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Dk Festus Limbu wameiponda wakisema haikuwashirikisha wadau katika uandaaji na kwamba haina kipya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani