Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge watano watikisa Bunge la 19

Wabunge watano wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa 19 wa Bunge ulipoanza kutokana na michango yao binafsi katika mijadala ya miswada ya sheria mbalimbali iliyowasilishwa bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wabunge saba watikisa Bunge

>Wabunge saba wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa Bunge la Bajeti ulipoanza kutokana na michango yao binafsi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti

Bunge Maalumu la Katiba liko katika mapumziko hadi Agosti 5 mwaka huu, hatua ambayo ilifikiwa kwa lengo la kupisha uendeshaji wa Bunge la Bajeti.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge 10 watikisa mjadala wa bajeti 2015

Wakati Bunge likitarajiwa kupiga kura kesho kupitisha Bajeti, mjadala wa makadirio na matumizi hayo ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16 ulitarajiwa na kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao, huku wabunge 10 wakitoa kauli ambazo zilisisimua chombo hicho cha kutunga sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizi watikisa Bunge

MASHINE ya kurushia matangazo ya moja kwa moja na kuchanganya picha, imeibiwa ndani ya ukumbi wa jengo la Bunge katika mazingira ya kutatanisha, Tanzania Daima limebaini. Mashine hiyo (Mixer), mali...

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake watikisa Bunge la Katiba

UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgawanyo wa mapato watikisa Bunge Maalumu

>Hoja kuhusu mgawanyo wa mapato ya muungano imeendelea kulitikisa Bunge Maalumu la Katiba na jana watendaji wakuu wa wizara za fedha wa muungano na Zanzibar pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu walitua Dodoma kuweka mambo sawa.

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe wanawake watikisa Bunge malumbano ya jinsi

UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.

 

10 years ago

TheCitizen

Wabunge watano wa viti maalumu wasaka majimbo

Dar es Salaam. Joto la harakati za kuwania ubunge, linazidi kupanda, baada ya wabunge kadhaa wa viti maalumu wa kambi ya upinzani na chama tawala CCM, kujipanga kutetea nafasi zao za ubunge kupitia majimbo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani