Mgawanyo wa mapato watikisa Bunge Maalumu
>Hoja kuhusu mgawanyo wa mapato ya muungano imeendelea kulitikisa Bunge Maalumu la Katiba na jana watendaji wakuu wa wizara za fedha wa muungano na Zanzibar pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu walitua Dodoma kuweka mambo sawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Malipo ya kadi maalumu yaongeza mapato NCAA
11 years ago
Michuzi26 Jul
Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali
![Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0835.jpg)
![Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0814.jpg)
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0792.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wizi watikisa Bunge
MASHINE ya kurushia matangazo ya moja kwa moja na kuchanganya picha, imeibiwa ndani ya ukumbi wa jengo la Bunge katika mazingira ya kutatanisha, Tanzania Daima limebaini. Mashine hiyo (Mixer), mali...
11 years ago
Habarileo05 Mar
Wanawake watikisa Bunge la Katiba
UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Wabunge saba watikisa Bunge
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Wabunge watano watikisa Bunge la 19
11 years ago
Habarileo05 Mar
Wajumbe wanawake watikisa Bunge malumbano ya jinsi
UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...