Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgawanyo wa mapato watikisa Bunge Maalumu

>Hoja kuhusu mgawanyo wa mapato ya muungano imeendelea kulitikisa Bunge Maalumu la Katiba na jana watendaji wakuu wa wizara za fedha wa muungano na Zanzibar pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu walitua Dodoma kuweka mambo sawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti

Bunge Maalumu la Katiba liko katika mapumziko hadi Agosti 5 mwaka huu, hatua ambayo ilifikiwa kwa lengo la kupisha uendeshaji wa Bunge la Bajeti.

 

10 years ago

Mwananchi

Malipo ya kadi maalumu yaongeza mapato NCAA

Mapato ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) yameongezeka kutoka Sh27 bilioni mwaka 2004 hadi Sh55.809 bilioni mwaka jana, baada ya kuanzishwa kwa matumizi ya smart card katika malipo ya kuingia kwenye hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fredrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizi watikisa Bunge

MASHINE ya kurushia matangazo ya moja kwa moja na kuchanganya picha, imeibiwa ndani ya ukumbi wa jengo la Bunge katika mazingira ya kutatanisha, Tanzania Daima limebaini. Mashine hiyo (Mixer), mali...

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake watikisa Bunge la Katiba

UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge saba watikisa Bunge

>Wabunge saba wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa Bunge la Bajeti ulipoanza kutokana na michango yao binafsi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge watano watikisa Bunge la 19

Wabunge watano wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa 19 wa Bunge ulipoanza kutokana na michango yao binafsi katika mijadala ya miswada ya sheria mbalimbali iliyowasilishwa bungeni.

 

11 years ago

Habarileo

Wajumbe wanawake watikisa Bunge malumbano ya jinsi

UKUMBI wa Bunge Maalumu la Katiba umegeuka ukumbi wa malumbano ya kijinsi baada ya wajumbe wanawake, kusimama na kuimba, wakitaka haki zao kwenye kanuni za bunge hilo, kiongezwe kipengele kinachotaka kuzingatiwa jinsi kwenye nafasi za mwenyekiti na makamu wake wa bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu vuluvulu

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani