Wabunge waanza kuijadili bajeti
WABUNGE leo wanaanza mjadala wa bajeti ya Serikali iliyosomwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Bajeti hiyo inajadiliwa huku miongoni mwa maeneo yanayoonesha nafuu ikiwa ni pamoja na hatua ya serikali kutangaza kupunguza kiwango cha chini cha Kodi ya Mapato ya Mishahara (PAYE) hadi asilimia 12 kutoka asilimia 13.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wabunge waanza kushutumiana
WABUNGE wameshutumiana vikali juu ya baadhi yao kutumiwa na kampuni kubwa za kigeni kukwamisha kupitishwa kwa miswada miwili, inayotarajiwa kuwasilishwa na Serikali katika Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge unaoendelea mjini hapa, yenye lengo la kupunguza au kufuta misamaha ya kodi.
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Bajeti yawachanganya wabunge
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Bajeti yawagawa wabunge
BAJETI Kuu ya Serikali iliyosomwa jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya, imewagawa wabunge ambapo baadhi wameiponda, huku wengine wakiisifia.
Baadhi ya wabunge hao wakiwamo wa vyama vya upinzani na chama tawala CCM, walisema bajeti hiyo haina jambo jipya na imezidi kuongeza mzigo wa umasikini kwa wananchi.
LUHAGA MPINA
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), alisema kupandisha ushuru wa mafuta ya taa, petroli na dizeli ni kuongeza ugumu wa maisha kwa mwananchi kwa sababu ongezeko lolote...
10 years ago
Mwananchi29 May
BAJETI: Wabunge wamshukia Nyalandu
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Wabunge CCM wazidi kuipinga bajeti
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Wabunge wasijadili Bajeti kwa ushabiki
11 years ago
Mwananchi06 May
Wabunge wakatae kupitisha Bajeti ya kufikirika
10 years ago
Mwananchi09 May
Inashangaza wabunge kulipua Bajeti ya Elimu