Pingamizi la Mbarouk dhidi ya Nundu latupwa kortini
Mahakama Kuu Kanda ya Tanga imetupilia mbali maombi ya Mbunge wa Tanga Mjini, Mussa Mbarouk (CUF) kutaka kufuta kesi iliyowasilishwa na Omari Nundu (CCM) kupinga matokeo ya uchaguzi ya Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Pingamizi dhidi ya Profesa Maghembe latupwa
10 years ago
Habarileo23 Sep
Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.
11 years ago
Michuzi20 Feb
PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA
Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Pingamizi la Mwanasheria Mkuu latupwa
PINGAMIZI la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo25 Nov
Pingamizi kuaga mwili wa Mawazo latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupa pingamizi lililowekwa na Serikali katika shauri la kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa hivi karibuni na watu wasiojulikana.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC)
Repoti ya Salma Said:
The post Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC) appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Kafulila awasilisha pingamizi dhidi ya IPTL
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Sheikh Ponda ‘alia’ na pingamizi dhidi yake
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mahakama yatupa pingamizi la ubunge dhidi ya Dk Mwakyembe