Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pingamizi la Mbarouk dhidi ya Nundu latupwa kortini

Mahakama Kuu Kanda ya Tanga imetupilia mbali maombi ya Mbunge wa Tanga Mjini, Mussa Mbarouk (CUF) kutaka kufuta kesi iliyowasilishwa na Omari Nundu (CCM) kupinga matokeo ya uchaguzi ya Oktoba 25.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pingamizi dhidi ya Profesa Maghembe latupwa

Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mwanga ametupilia mbali pingamizi zilizowekwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Henry Kileo dhidi ya wagombea wenzake wawili.

 

10 years ago

Habarileo

Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

11 years ago

Michuzi

PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA

Godfrey Mgimwa

Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...

 

10 years ago

Habarileo

Pingamizi la Mwanasheria Mkuu latupwa

PINGAMIZI la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Pingamizi kuaga mwili wa Mawazo latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupa pingamizi lililowekwa na Serikali katika shauri la kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa hivi karibuni na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC)

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC) appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila awasilisha pingamizi dhidi ya IPTL

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila amewasilisha mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya aliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Ponda ‘alia’ na pingamizi dhidi yake

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itupilie mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na isikilize maombi yake ya mapitio ili haki itendeke.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa pingamizi la ubunge dhidi ya Dk Mwakyembe

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, imetupilia mbali shauri la kesi ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe(CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani