Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pingamizi kuaga mwili wa Mawazo latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupa pingamizi lililowekwa na Serikali katika shauri la kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa hivi karibuni na watu wasiojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Polisi: Marufuku kukusanyika kuaga mwili wa Mawazo

Serikali wilayani Geita na Polisi Mkoa wa Mwanza, wamepiga marufuku wanachama na wafuasi wa Chadema kukusanyika kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo (pichani).

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MAMIA YA WAKAZI WA BUSANDA WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO

Mgombea urais wa UKAWA kupitia Chadema Mh Edward Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe wakiangalia mahali ambapo Alphonse Mawazo aliuawa.

 

9 years ago

StarTV

Mahakama kuu Mwanza yaahirisha kesi Kuaga Mwili Wa Alphonce Mawazo

Mahakama kuu Kanda ya Mwanza imeahirisha kesi iliyofunguliwa na familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo kupinga amri ya Polisi kuzuia mwili wake usiagwe jijini Mwanza.

Kesi hiyo namba 11 ya mwaka 2015 ambayo imefunguliwa mchana wa leo ikisimamiwa na wakili James Milya na John Malya kutoka Chadema na itatajwa tena Novemba 25 mwaka huu

Mapema asubuhi mahakama kuu kanda ya Mwanza imeruhusu maombi ya baba mdogo wa...

 

9 years ago

StarTV

Chadema yafungua kesi ya madai  kuhusu Zuio La Kuaga Mwili Wa Mawazo

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefungua kesi ya madai katika mahakama kuu kanda ya Mwanza kutengua zuio la jeshi la polisi mkoani humo kuzuia wafuasi wa chama hicho wasiuage mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita.

Kesi hiyo namba 10 ya mwaka 2015 imefunguliwa kwa hati ya dharura sana kwa niaba ya mlalamikaji mchungaji Charles Lugiko ambaye ni baba mlezi wa marehemu.

Katika mahakama kuu kanda ya Mwanza wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

JESHI LA POLISI LAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO

Viongozi wa Chadema wakijadiliana baada ya Jeshi la Polisi kupiga marufuku shughuli za kuaga mwili wa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita Ndugu Alphonse Mawazo, zilizokuwa zifanyike Jijini Mwanza.  Pichani baadhi ya vijana walioshiriki kuchimba kaburi la marehemu Alphonse Mawazo anayetarajia kuzikwa kijijini kwao alipozaliwa Mkoani Geita.

 

9 years ago

Michuzi

KILICHOJIRI MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA KUHUSU HATMA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MAWAZO

Jana Novemba 26,2015 Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza ilitengua zuio la Jeshi la Polisi Mkoani hapa la kuzuia ibada ya mazishi ya kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoani Geita Alphonce Mawazo alieuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana Novemba 14 mwaka huu Mkoani humo.
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA  

 

10 years ago

Habarileo

Pingamizi la Mwanasheria Mkuu latupwa

PINGAMIZI la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

9 years ago

Mwananchi

Pingamizi dhidi ya Profesa Maghembe latupwa

Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mwanga ametupilia mbali pingamizi zilizowekwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Henry Kileo dhidi ya wagombea wenzake wawili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani