MAMIA YA WAKAZI WA BUSANDA WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBROLXrsvxU/VlznP7mQnXI/AAAAAAAAXVE/NeTFKbLRwhc/s72-c/12313746_418058061720131_2182243410750664304_n.jpg)
Mgombea urais wa UKAWA kupitia Chadema Mh Edward Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe wakiangalia mahali ambapo Alphonse Mawazo aliuawa.
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-GakCDLVpI8c/VlCFtDsnI9I/AAAAAAAAXKM/fuSfDOx-E2I/s72-c/FB_IMG_1448116123927.jpg)
JESHI LA POLISI LAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-yXJqfF5vxgk/Vln25cvZOHI/AAAAAAAAXSk/UjvpsXUKb_k/s72-c/FB_IMG_1448735001893.jpg)
HATIMAYE MWILI WA ALPHONSE MAWAZO WAAGWA MWANZA
9 years ago
Habarileo25 Nov
Pingamizi kuaga mwili wa Mawazo latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupa pingamizi lililowekwa na Serikali katika shauri la kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa hivi karibuni na watu wasiojulikana.
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Polisi: Marufuku kukusanyika kuaga mwili wa Mawazo
9 years ago
StarTV25 Nov
Mahakama kuu Mwanza yaahirisha kesi Kuaga Mwili Wa Alphonce Mawazo
Mahakama kuu Kanda ya Mwanza imeahirisha kesi iliyofunguliwa na familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo kupinga amri ya Polisi kuzuia mwili wake usiagwe jijini Mwanza.
Kesi hiyo namba 11 ya mwaka 2015 ambayo imefunguliwa mchana wa leo ikisimamiwa na wakili James Milya na John Malya kutoka Chadema na itatajwa tena Novemba 25 mwaka huu
Mapema asubuhi mahakama kuu kanda ya Mwanza imeruhusu maombi ya baba mdogo wa...
9 years ago
StarTV24 Nov
Chadema yafungua kesi ya madai  kuhusu Zuio La Kuaga Mwili Wa Mawazo
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefungua kesi ya madai katika mahakama kuu kanda ya Mwanza kutengua zuio la jeshi la polisi mkoani humo kuzuia wafuasi wa chama hicho wasiuage mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita.
Kesi hiyo namba 10 ya mwaka 2015 imefunguliwa kwa hati ya dharura sana kwa niaba ya mlalamikaji mchungaji Charles Lugiko ambaye ni baba mlezi wa marehemu.
Katika mahakama kuu kanda ya Mwanza wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema...
11 years ago
CloudsFM05 Jun
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s72-c/IMG_2563.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MTIKILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s640/IMG_2563.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QyXPPpxFFiE/VhVFWsaVNEI/AAAAAAAAaj8/iiDFNIX-irw/s640/IMG_2561.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hBRa7OaeLoI/VhVFZOxFBMI/AAAAAAAAakE/jrm_qE4l_9A/s640/IMG_2579.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tpnm0FlkkbU/VhVFaWREZiI/AAAAAAAAakM/GrE8bQ2mOdI/s640/IMG_2580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bDh1VpkFFUo/VhVFbIISzDI/AAAAAAAAakQ/GTGXfw8iQCc/s640/IMG_2581.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0zzKRUF9y0k/VhVGG39N6tI/AAAAAAAAakc/GpxeLN1x1Po/s640/IMG_2570.jpg)
9 years ago
StarTV21 Oct
Lowassa aongoza mamia kuaga mwili wa Makaidi Dar.
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeungwa Mkono na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA , Edward Lowassa ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam kuuaga Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Dkt Emmanuel Makaidi.
Marehemu Emmanuel Makaidi alifariki Dunia Octoba 15 katika Hospitali ya Nyagao iliyopo Mkoani Lindi alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu.
Katika...