Kafulila awasilisha pingamizi dhidi ya IPTL
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila amewasilisha mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya aliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi31 Jul
BREAKING NEWSSSS !!!!!!! KESI YA IPTL DHIDI YA KAFULILA YATUPWA NJE.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s72-c/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s640/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar
Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.
Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.
Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Kafulila aivimbia IPTL
SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Kafulila akoleza moto wa IPTL
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amewasha upya moto bungeni kuhusu kashfa ya uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT)....
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Kafulila: IPTL ilinipeleka Israel kuhiji
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila, amesema kuwa baada ya kuibua kashfa ya sakata la kuchota fedha zaidi ya sh Bilioni 300, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti ya Escrow, alilazimika kwenda Israel...
11 years ago
Daily News21 Jul
IPTL, two others seek to gag legislator Kafulila
Daily News
Daily News
INDEPENDENT Power Tanzania Limited (IPTL) and two other applicants have filed an application before the High Court to prevent the Member of Parliament (MP) for Kigoma South Constituency, Mr David Kafulila, from continuing circulating defamatory ...
The Ubungo Member of Parliament, John Mnyika (Chadema)IPPmedia
all 2
10 years ago
TheCitizen17 Sep
Kafulila raises fresh worries on IPTL saga