Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kafulila: IPTL ilinipeleka Israel kuhiji

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila, amesema kuwa baada ya kuibua kashfa ya sakata la kuchota fedha zaidi ya sh Bilioni 300, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti ya Escrow, alilazimika kwenda Israel...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

IPTL VS KAFULILA

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi)Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan Africa Power Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi.  Habari na Mwene Said wa Blogu ya Jamii.  KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imewasilisha maombi Mahakama Kuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila aivimbia IPTL

SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kafulila akoleza moto wa IPTL

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amewasha upya moto bungeni kuhusu kashfa ya uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT)....

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila awasilisha pingamizi dhidi ya IPTL

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila amewasilisha mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya aliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

Daily News

IPTL, two others seek to gag legislator Kafulila


Daily News
IPTL, two others seek to gag legislator Kafulila
Daily News
INDEPENDENT Power Tanzania Limited (IPTL) and two other applicants have filed an application before the High Court to prevent the Member of Parliament (MP) for Kigoma South Constituency, Mr David Kafulila, from continuing circulating defamatory ...
The Ubungo Member of Parliament, John Mnyika (Chadema)IPPmedia

all 2

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila kupeleka hoja binafsi ya IPTL bungeni

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila amesema kama Bunge lijalo halitatoa ripoti ya fedha zilizolipwa kwa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow atapeleka hoja binafsi bungeni ya kutokuwa na imani na Serikali.

 

11 years ago

TheCitizen

Kafulila asks JK to intervene in IPTL sale saga

>Kigoma South MP David Kafulila yesterday appealed to President Jakaya Kikwete to intervene in the controversy surrounding the payment of Sh201 billion to Pan African Power Solutions Ltd (PAP).

 

10 years ago

TheCitizen

Kafulila raises fresh worries on IPTL saga

Kigoma South MP David Kafulila (NCCR-Mageuzi) wants Controller and Auditor General (CAG) Ludovick Utouh to hand over to Parliament the probe report on the Sh201 billion ($122 million) IPTL escrow account scandal before he retires.

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani