Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC)

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC) appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:ZEC yatupilia mbali pingamizi dhidi ya Mansour

Salma Said:

The post Sauti:ZEC yatupilia mbali pingamizi dhidi ya Mansour appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Mkutano na waandishi — ZEC

Salma Said,

The post Sauti:Mkutano na waandishi – ZEC appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

WAGOMBEA 38 NAFASI ZA UBUNGE WALIYOWEKEWA PINGAMIZI KUENDELEA NA KAMPENI.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damiani Lubuva.
Na Anitha Jonas – MAELEZO.TUME ya Taifa ya Uchaguzi  nchini  imefuta rufaa 38 za wagombea nafasi za ubunge kati ya 54 zilizowasilishwa kupinga baadhi ya wagombea hao kwa kuwatuhumu kutotimiza vigezo mbalimbali na kusema wagombea hao wanaweza kuendelea na Kampeni majimboni mwao.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uchaguzi  Bw.Kailima Ramadhan kwenye mkutano na waandishi wa habari.Alisema kuwa baada ya...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali

Sikiliza mahojiano hayo kati ya DW na Mh.Salim Kassim Ali (mkurugenzi wa tume ya chaguzi Zanzibar – ZEC):

The post Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatupilia mbali baadhi ya rufani za wagombea waliowekewa pingamizi

lubuva-600x342Jaji Lubuva..

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.

Kurudishwa kwao kunafanya baadhi ya wabunge waliokuwa wamepita bila kupingwa, sasa kuwa na wapinzani wao na baadhi ya majimbo hayo ni Bumbuli (January Makamba), Peramiho (Jenista Mhagama), Ludewa (Deo Filikunjombe) na Madaba (Mhagama), walitangazwa kupita bila kupingwa.

Hayo...

 

11 years ago

Habarileo

Pingamizi la AG dhidi ya wanasheria, Kubenea latupwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

11 years ago

Mwananchi

Kafulila awasilisha pingamizi dhidi ya IPTL

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila amewasilisha mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya aliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Pingamizi dhidi ya Profesa Maghembe latupwa

Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mwanga ametupilia mbali pingamizi zilizowekwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Henry Kileo dhidi ya wagombea wenzake wawili.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Ponda ‘alia’ na pingamizi dhidi yake

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itupilie mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na isikilize maombi yake ya mapitio ili haki itendeke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani