Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali

Sikiliza mahojiano hayo kati ya DW na Mh.Salim Kassim Ali (mkurugenzi wa tume ya chaguzi Zanzibar – ZEC):

The post Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU

Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro StudioKipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU

balozi Amina

Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.

Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania

Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali

Karibu

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI AMINA SALUM ALI AENDELEA KUJINADI, AFANYA MAHOJIANO 360 YA CLOUDS NA WANAWAKE LIVE

Balozi wa kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe.Amina Salum Ali akifanyiwa mahojiano na Hudson Kamoga katika kipindi cha 360 cha Clouds TV kinachokua hewani kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12 mpaka saa 3 asubuhi. Balozi Amina Salum Ali ndiye mgombea mwanamke pekee aliyetangaza nia ya kuwania urais kupitia tiketi ya CCM.Balozi wa kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe.Amina Salum Ali akijinadi katika mahojiano aliyofanyiwa na mtangazaji Hudson Kamoga (hayupo pichani)...

 

11 years ago

GPL

KUMRADHI: SALUM KASSIM YUPO HAI

Salum Kassim yupo hai. Tunaomba radhi kwa  kuchanganya habari za kifo cha mtoto aliyevunjwa mguu ambaye tulimuandika katika Gazeti la Risasi la leo Julai 12, 2014 na badala yake tumetangaza kuwa aliyefariki ni  mtoto Salum Kassim. Huyo mtoto yupo hai na tunasikitika sana kwa kujichanganya huko. Tunaomba radhi pia kwa wazazi wa Salum na tupo pamoja katika kuhakikisha anapatiwa tiba katika harambee zetu. Tunaomba...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Mkutano na waandishi — ZEC

Salma Said,

The post Sauti:Mkutano na waandishi – ZEC appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC)

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Pingamizi dhidi wagombea (ZEC) appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sauti ya Salum Jecha akifuta matokeo Zanzibar

Matokeo ya uchaguzi kisiwani Zanzibar yamefutiliwa mbali.Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kisiwani humo Jecha Salum Jecha amesema.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:ZEC yatupilia mbali pingamizi dhidi ya Mansour

Salma Said:

The post Sauti:ZEC yatupilia mbali pingamizi dhidi ya Mansour appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Amina Salum Ali

Amina-Salum-AliNa Is-haka Omar, Zanzibar
BALOZI wa Umoja wa Afrika (AU) katika Umoja wa Mataifa (UN), Amina Salum Ali, amesema ana nia ya kuwania nafasi ya uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ingawa kwa sasa ni mapema kusema hivyo.
Balozi Amina ambaye amekuwa akitajwa kusaka kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, aliweka msimamo huo wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano ulioitishwa na Jumuiya ya Kuhamasisha Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (COWPZ)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani