BALOZI AMINA SALUM ALI AENDELEA KUJINADI, AFANYA MAHOJIANO 360 YA CLOUDS NA WANAWAKE LIVE

Balozi wa kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe.Amina Salum Ali akifanyiwa mahojiano na Hudson Kamoga katika kipindi cha 360 cha Clouds TV kinachokua hewani kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12 mpaka saa 3 asubuhi. Balozi Amina Salum Ali ndiye mgombea mwanamke pekee aliyetangaza nia ya kuwania urais kupitia tiketi ya CCM.
Balozi wa kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe.Amina Salum Ali akijinadi katika mahojiano aliyofanyiwa na mtangazaji Hudson Kamoga (hayupo pichani)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU

Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Historia ya Balozi Amina Salum Ali wa CCM
10 years ago
Vijimambo
BALOZI AMINA SALUM ALI ATANGAZA KUWANIA URAIS

Balozi Amina ametangaza uamuzi wake huo mapema leo hapa hapa jijini Dar es Salaam.Itakumbukwa ya kuwa Balozi Amina ambaye alidumu kwa muda mrefu kama waziri kwenye serikali ya Rais mstaafu wa...
10 years ago
Vijimambo
AFRICA UNION WAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI, WASHINGTON, DC





10 years ago
VijimamboDIASPORA YA MONTGOMERY COUNTY YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
Bwn. Daniel Korona akisherehesha hafla futi ya kumuaga Balozi wa Umoja wa Afrika aliyemaliza muda wake Mhe. Amina Salum Ali iliyoandaliwa na Jumuiya ya Diaspora kutoka Afrika wanaoishi Montgomery county iliyofanyika siku ya Jumatano Sept 2, 2015 Silver Spring, Maryland.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Balozi Amina Salum Ali alivyovuka kiunzi cha Kamati Kuu
10 years ago
Vijimambo
BALOZI AMINA SALUM ALI AHUTUBIA MKUTANO WA AFRICANA CONFERENCE MASSACHUSETTS

katika hotuba yake alichukua nafasi kuzungumzia masuala ya Afrika na umuhimu wa bara la Afrika kuwa...
10 years ago
Vijimambo
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI


