Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMRADHI: SALUM KASSIM YUPO HAI

Salum Kassim yupo hai. Tunaomba radhi kwa  kuchanganya habari za kifo cha mtoto aliyevunjwa mguu ambaye tulimuandika katika Gazeti la Risasi la leo Julai 12, 2014 na badala yake tumetangaza kuwa aliyefariki ni  mtoto Salum Kassim. Huyo mtoto yupo hai na tunasikitika sana kwa kujichanganya huko. Tunaomba radhi pia kwa wazazi wa Salum na tupo pamoja katika kuhakikisha anapatiwa tiba katika harambee zetu. Tunaomba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Tunaumizwa na madai kwamba Ballali yupo hai’

Baadhi ya wanafamilia wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali wamesema taarifa zilizozagaa kwamba ndugu yao huyo yupo hai hadi sasa, zinawaumiza na kuwakumbusha uchungu walioupata wakati wa kifo chake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hussein Machozi asema bado yupo hai

Mwimbaji wa wimbo ''Kafia Ghetto'' na 'Jela' Hussein machozi ameshtumu uvumi unaondelea kwamba amefariki baada ya ajali ya barabarani

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali

Sikiliza mahojiano hayo kati ya DW na Mh.Salim Kassim Ali (mkurugenzi wa tume ya chaguzi Zanzibar – ZEC):

The post Sauti:Mahojiano na mkurugenzi wa ZEC/Salum Kassim Ali appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL YUPO HAI, TAARIFA ZA KIFO CHAKE NI UZUSHI

KUNA taarifa zilizagaa kuwa msanii mkongwe wa vichekesho na maigizo nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amefariki dunia. Taarifa hizo ni za uongo na uzushi maana mwandishi wetu ameongea na mke wa Mzee Small pamoja na Mzee Small mwenyewe ambaye ni mzima kabisa!  Mke wa Mzee Small anadai usiku kucha hajalala maana alikuwa anapokea meseji za pole kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu taarifa hizo za uzushi. Mzee Small...

 

10 years ago

Bongo5

Macaulay Culkin (Kevin) wa ‘Home Alone’ athibitisha kuwa yupo hai baada ya kuzushiwa kifo weekend iliyopita

Muigizaji na mwanamuziki Macaulay Culkin (34) aliyepata umaarufu kupitia filamu ya ‘Home Alone’ aliyoigiza enzi za udogo wake kama Kevin, amezizika tetesi zilizoibuka weekend iliyopita kuwa amefariki dunia. Picha ya Culkin aliyopost Instagram kuthibitisha yupo hai Culkin ametumia mitandao ya kijamii kuthibitisha kuwa bado yupo hai na ni mzima. Taarifa hizo za uzushi zilianzia Facebook […]

 

11 years ago

GPL

NISHA BADO YUPO YUPO SANA

Stori: Chande Abdallah Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ ameweka wazi kwamba bado yupoyupo sana linapokuja suala la kuolewa. Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na mwanahabari wetu, mwigizaji huyo alisema kuwa anatambua kuwa yeye kama mwanamke aliyetimia lazima atakuja. kuolewa siku moja, lakini siyo hivi karibuni.
“Natambua mwanamke aliyetimia lazima...

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!

BRAEKI

kasim

Kassim Majaliwa

Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu,  ambaye  ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa  Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARALE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na Viongozi wengine wa wilaya ya Hai, wakitizama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Mbowe akijadili jambo na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka na viongozi wengine baada ya kuona namna ambavyo miundo mbinu ya reli ilivyosombwa na maji.
Baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARARE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na biongozi wengine wa wilaya ya Hai wakitazama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mbunge Mbowe katika eneo la mafuriko yaliyosomba reli.Viongozi wa Chama cha mapinduzi wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kutoa pole...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani