SERIKALI KUWASHUGHULIKIA WANANCHI WANAOKWEPA KULIPA KODI
![](http://4.bp.blogspot.com/-C1W8maa3KbQ/VRv1iZmUHpI/AAAAAAADR-s/4d5M9OzG3WU/s72-c/4112.jpg)
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (katikati) akiangalia mbidhaa za tv zilizokutwa katika mojawapo ya kontena zilizokuwepo katika Bandari ya Nchi Kavu ya TRH katika ziara ya wizara hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (kushoto) akisikiliza maelekezo kutoka kwa Kamishna Msaidizi wa Forodha wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bw. Tiagi Kabisi katika ziara ya wizara hiyo jana jijini Dar es Salaam ambapo kontena mbili zilikamtwa ambapo moja ilikutwa na bidhaa za tv na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ecV5BTnmMcQ/default.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 7 KWA WAFANYABIASHARA WANAOKWEPA KULIPA KODI
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Hakuna taifa linaloendelea bila wananchi kulipa kodi
“IMEKUWA hulka kwa wafanyabiashara kuona sifa kukwepa kulipa kodi na hali inakuwa mbaya zaidi pale wananchi watakapokosa uzalendo katika suala zima la ulipaji kodi.” Hiyo ni kauli ya Meneja Msaidizi...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WANANCHI KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI SHINYANGA
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iiTUTtyGFg0/XujKtPyQpWI/AAAAAAALuEE/niDtRJvqK-QmxWNZcpLFHZt3VwpiyTwyQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.33.47%2BPM.jpeg)
WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iiTUTtyGFg0/XujKtPyQpWI/AAAAAAALuEE/niDtRJvqK-QmxWNZcpLFHZt3VwpiyTwyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.33.47%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b0IFsGsOvuI/XujKtEkDneI/AAAAAAALuEA/AYeS1Bl60pI1fh74EGdM96oqIWFS5DA8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.34.09%2BPM.jpeg)
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.
Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo, Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
VIDEO: Mhe.Saada Mkuya awataka wananchi kushirikiana na serikali katika kuchangia maendeleo ya nchi kupitia ulipaji wa kodi
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akizungumza leo Bungeni mjini Dodoma.