Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta kuwashughulikia wanaopinga Muungano

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu, Samuel Sitta, amesisitiza msimamo wake wa kuwashughulikia wajumbe wa Bunge hilo wenye nia ya kuvunja Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa. Awali kabla ya kusisitiza msimamo wake, Mjumbe wa Bunge hilo, Mchungaji Christopher Mtikila, alidai kuwa kauli hiyo ilimlenga yeye kumtisha kutokana na msimamo wake wa kupinga Muungano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sitta: Nitadumisha Muungano

samwel-sittaNa Joseph Manyonyi, Bunda

WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudumisha na kulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwa atapewa ridhaa ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sitta alisema hayo juzi, wakati akiwashukuru wanachama wa CCM wa Wilaya ya Bunda waliofika kumdhamini ili ateuliwe kuwa mgombea urais, shughuli iliyofanyika katika kiwanja cha Ofisi ya CCM Wilaya ya Bunda, mkoani Mara.
Mgombea huyo alisema ataulinda Muungano wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaopinga CWT kukutana karibuni

KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya chama cha walimu Tanzania (CWT), imesema inatarajia kukutana na wanachama, kutoa tamko kutokana na madai yao kutosikilizwa. Mwaka jana Kamati hiyo ilipanga kufanya maandamano, yaliyodaiwa kuwa na tamko zito kuhusu mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT, ambayo baadaye yaliahirishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LAAC kuwashughulikia watendaji Longido

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) inakusudia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria baadhi ya watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kutokana na kinachoelezwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bendera kuwashughulikia watumishi wezembe

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amewaagiza wakurugenzi wa wilaya mkoani hapa kupeleka haraka taarifa za watumishi wazembe na wasio waadilifu ofisini kwake, ili awachukulie hatua za kisheria. Bendera...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaopinga rasimu ya Katiba wanamkana JK

RAIS Jakaya Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005  alisema wazi kwamba jambo moja kubwa lililokuwa likisumbua kichwa chake ni kero zilizokuwa zikijitokeza kwenye Muungano wa Tanzania. Aliweka wazi kuwa kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu

HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni watu 10 pekee wanaopinga muhula wa 3 wa Kagame

Maafisa nchini Rwanda wanasema kwamba baada ya mashauriano ya kitaifa ni watu kumi tu wanaompinga rais Kagame kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu

Kiongozi anayeongoza kampeni za kupinga ndoa za jinsia moja nchini Ireland amekubali kushindwa,huku kura zikiendelea kuhesabiwa

 

11 years ago

Mwananchi

Blatter: Wanaopinga Qatar wabaguzi wa rangi

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa), Sepp Blatter amesema madai ya rushwa katika kuipa Qatar uenyeji wa fainali za Kombe la Dunia za 2022 yamechochewa na hisia za ubaguzi wa rangi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani