Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni watu 10 pekee wanaopinga muhula wa 3 wa Kagame

Maafisa nchini Rwanda wanasema kwamba baada ya mashauriano ya kitaifa ni watu kumi tu wanaompinga rais Kagame kuwania muhula wa tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watu 10 pekee wapinga muhula wa 3 wa Kagame.


Kagame

Maafisa nchini Rwanda wanasema kwamba baada ya mashauriano ya kitaifa ni watu kumi tu wanaompinga rais Kagame kuwania muhula wa tatu.

Gazeti la New Times lililo karibu na serikali linasema kati ya watu milioni mbili walioshauriwa kuhusu kufanyia katiba mageuzi ni watu kumi tu waliopinga fikra hiyo.

Katiba inasema rais anapaswa kuhudumu kwa mihula miwili pekee.

Wachambuzi wanasema raia wengi wa Rwanda huenda wameogopa kupinga pendekezo hilo.

Rais Kagame amehudumu madarakani tangu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame

Wapinzani wa rais wa Rwanda Paul Kagame wameshtumu mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko katiba ili kumruhusu kuwania muhula wa tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge lamwezesha Kagame kuwania muhula wa 3

Bunge la Senate la Rwanda limeidhinisha marekebisho katika katiba yatakayomuwezesha rais Paul Kagame kugombea urais kwa muhula wa tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kagame atangaza atawania muhula wa tatu

Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza kwamba atawania urais kwa muhula wa tatu baada ya muhula wake wa sasa kumalizika 2017.

 

9 years ago

Bongo5

Kagame kugombea muhula wa tatu, Marekani yalaani

BN-CL122_RWANDA_G_20140418150011

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania muhula wa tatu wa Urais baada ya wananchi kupigia kura rasimu ya katiba inayomruhusu kufanya hivyo.

BN-CL122_RWANDA_G_20140418150011

Akihutubia taifa hilo siku ya mwaka mpya, Kagame alidai kuwa uamuzi wake huo umetokana na chaguo la wananchi wake.

Wananchi wa Rwanda waliipigia kura rasimu ya katiba hiyo December 18 kumruhusu Kagame, 58, kuwania tena muhula mwingine wa urais mwaka 2017 wenye miaka saba.

Katiba hiyo itamruhusu kuwania tena mihula mingine miwili ya miaka kumi hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 50 pekee wanapomiliki asilimia 50 ya ardhi ya wilaya

Unajua kuwa migogoro ya ardhi imekuwa ikiongezeka nchini kila kukicha hata baadhi ya maeneo zaidi ya asilimia 50  ya ardhi kumilikiwa na watu wachache?

 

11 years ago

Habarileo

Wanaopinga CWT kukutana karibuni

KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya chama cha walimu Tanzania (CWT), imesema inatarajia kukutana na wanachama, kutoa tamko kutokana na madai yao kutosikilizwa. Mwaka jana Kamati hiyo ilipanga kufanya maandamano, yaliyodaiwa kuwa na tamko zito kuhusu mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT, ambayo baadaye yaliahirishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaopinga rasimu ya Katiba wanamkana JK

RAIS Jakaya Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005  alisema wazi kwamba jambo moja kubwa lililokuwa likisumbua kichwa chake ni kero zilizokuwa zikijitokeza kwenye Muungano wa Tanzania. Aliweka wazi kuwa kwa vile...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani