Wanaopinga CWT kukutana karibuni
KAMATI ya Kitaifa ya wanachama wa chama cha walimu ya kudai mabadiliko ndani ya chama cha walimu Tanzania (CWT), imesema inatarajia kukutana na wanachama, kutoa tamko kutokana na madai yao kutosikilizwa. Mwaka jana Kamati hiyo ilipanga kufanya maandamano, yaliyodaiwa kuwa na tamko zito kuhusu mwenendo uliopo kwa viongozi wa CWT, ambayo baadaye yaliahirishwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo04 Sep
DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA
![](http://jewajua.com/wp-content/uploads/2015/09/Dr-Wilbroad-Slaa-Akitangaza-Kuachana-na-Sisa-za-Vyama-741x486.jpg)
SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Wanaopinga rasimu ya Katiba wanamkana JK
RAIS Jakaya Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005 alisema wazi kwamba jambo moja kubwa lililokuwa likisumbua kichwa chake ni kero zilizokuwa zikijitokeza kwenye Muungano wa Tanzania. Aliweka wazi kuwa kwa vile...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Sitta kuwashughulikia wanaopinga Muungano
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu, Samuel Sitta, amesisitiza msimamo wake wa kuwashughulikia wajumbe wa Bunge hilo wenye nia ya kuvunja Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa. Awali kabla ya kusisitiza msimamo wake, Mjumbe wa Bunge hilo, Mchungaji Christopher Mtikila, alidai kuwa kauli hiyo ilimlenga yeye kumtisha kutokana na msimamo wake wa kupinga Muungano.
10 years ago
Habarileo27 Nov
‘Acheni kurubuniwa na wanaopinga Katiba Pendekezwa’
WANANCHI wa Zanzibar wametakiwa kutokubali kurubuniwa na watu wanaojidai kutetea maslahi ya Zanzibar kwa kupinga Katiba Inayopendekezwa na kubainisha kuwa lengo la watu hao ni kurudisha nyuma maendeleo ya Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Ni watu 10 pekee wanaopinga muhula wa 3 wa Kagame
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
WANAOPINGA RASIMU YA KATIBA: Wajinga na mbumbumbu
HAKUNA shaka kwamba wajumbe walio wengi wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) wanaipinga rasimu iliyowasilishwa mezani na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Sababu kubwa...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Blatter: Wanaopinga Qatar wabaguzi wa rangi
10 years ago
BBCSwahili23 May
Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu
9 years ago
Habarileo15 Dec
Wanaopinga ubunge Tabora Mjini kulipia milioni 9/-
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora imewataka wananchi wanne waliofungua kesi ya kupinga matokea ya uchaguzi ya ubunge katika Jimbo la Tabora Mjini, kulipia Sh milioni tisa kama dhamana ndipo shauri hilo lisikilizwe.