Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 50 pekee wanapomiliki asilimia 50 ya ardhi ya wilaya

Unajua kuwa migogoro ya ardhi imekuwa ikiongezeka nchini kila kukicha hata baadhi ya maeneo zaidi ya asilimia 50  ya ardhi kumilikiwa na watu wachache?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA

Katibu Mkuu wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Alphayo J.Kidata, amefanya ziara katika Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya na kufanya maboresho, pamoja na kuahidi maboresho zaidi. Mhe. Kidata amefanya ziara hiyo ya ghafla katika Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya za Kinondoni na Ilala ili kubaini uendeshaji wa kazi katika Mabaraza hayo. Akisomewa ripoti fupi na mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Kinondoni, Bw. Yose Mlyambina pamoja na mambo mengine...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hernandez aweka wazi kilichomkimbiza Man United, VLG alimpa asilimia moja pekee ya kucheza

during the UEFA Champions League quarter-final second leg match between Real Madrid CF and Club Atletico de Madrid at Bernabeu on April 22, 2015 in Madrid, Spain.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez “Chicharito” (pichani) ameweka wazi sababu iliyomfanya aondoke Manchester United kuwa ni baada ya kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal kumwambia kuwa hana nafasi katika kikosi chake na kama akimpa nafasi basi ana asilimia moja pekee kucheza katika nafasi ya ushambuliaji ambayo ndiyo anacheza mchezaji huyo.

Akinukiliwa na gazeti la Hispania la Marca, Hernandez alisema kuwa kocha LVG alimuita kuzungumza nae...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mgimwa: Niliahidi kuwatumikia wananchi wa kalenga nimefanikiwa kwa asilimia 99 ndani ya mwaka mmoja pekee

Mbunge  Mgimwa akitimiza ahadi yake  ya bati 50 kwa kituo cha yatima Tosamaganga

Mbunge Mgimwa katikati  akitazama nguzo  za umeme katika kata ya Mgama.

WAKATI   wabunge wakiwa  mbioni kumaliza muda wao mbunge wa jimbo la Kalenga Bw. Godfrey Mgimwa amesema kuwa kwa  kipindi chake cha mwaka mmoja kama mbunge wa jimbo hilo la Kalenga amesema anamshukuru Mungu katika  safari yake ya  kuwatumikia wananchi  wa  jimbo la Kalenga kwa kufanikisha  kutekeleza ahadi  zake kwa asilimia 99.9 ndani...

 

5 years ago

Michuzi

LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...

 

10 years ago

Habarileo

Mahenge asema asilimia 61 ya ardhi imeharibika

Dk Binilith MahengeASILIMIA 61 ya ardhi nchini imeharibika kutokana uharibifu wa mazingira ya ardhi katika vyanzo vya mbalimbali na kusababisha kuzama kwa baadhi ya visiwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mlangi mgombea pekee nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida!!

DSC02266

Mgombea nafasi ya mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Singida,Elia Digha Mlangi,akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kazi.Digha aliyetetea vema nafasi yake ya udiwani kata ya Msange,ni mugombea pekee katika nafasi hiyo kutokana na halmashauri hiyo kutokuwa na diwani kutoka upande wa upinzani.Picha  na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Diwani  mteule (CCM) kata ya Msange tarafa ya Ilongero wilaya ya Singida,Elia Digha Mlangi,ni mgombea pekee katika  nafasi ya...

 

9 years ago

StarTV

Watu 10 pekee wapinga muhula wa 3 wa Kagame.


Kagame

Maafisa nchini Rwanda wanasema kwamba baada ya mashauriano ya kitaifa ni watu kumi tu wanaompinga rais Kagame kuwania muhula wa tatu.

Gazeti la New Times lililo karibu na serikali linasema kati ya watu milioni mbili walioshauriwa kuhusu kufanyia katiba mageuzi ni watu kumi tu waliopinga fikra hiyo.

Katiba inasema rais anapaswa kuhudumu kwa mihula miwili pekee.

Wachambuzi wanasema raia wengi wa Rwanda huenda wameogopa kupinga pendekezo hilo.

Rais Kagame amehudumu madarakani tangu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni watu 10 pekee wanaopinga muhula wa 3 wa Kagame

Maafisa nchini Rwanda wanasema kwamba baada ya mashauriano ya kitaifa ni watu kumi tu wanaompinga rais Kagame kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAHENGE:ASILIMIA 61 YA ARDHI NCHINI IMEHARIBIKA, AIRTEL YAPIGA JEKI SIKU YA MAZINGIRA

ASILIMIA 61 ya ardhi nchini imeharibika kutokana uharibifu wa mazingira ya ardhi  katika vyanzo vya mbalimbali na kusababisha kuzama kwa baadhi ya viziwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi.

Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira,Mhandisi Binith Mahenge wakati akitangaza maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani  yatakayofanyika Juni 5 mwaka  huu mkoani Tanga.  Mahenge amesema Juni 5 ya kila mwaka iliamuliwa na Umoja wa Mataifa mwaka 1972 kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani