Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hernandez aweka wazi kilichomkimbiza Man United, VLG alimpa asilimia moja pekee ya kucheza

during the UEFA Champions League quarter-final second leg match between Real Madrid CF and Club Atletico de Madrid at Bernabeu on April 22, 2015 in Madrid, Spain.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez “Chicharito” (pichani) ameweka wazi sababu iliyomfanya aondoke Manchester United kuwa ni baada ya kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal kumwambia kuwa hana nafasi katika kikosi chake na kama akimpa nafasi basi ana asilimia moja pekee kucheza katika nafasi ya ushambuliaji ambayo ndiyo anacheza mchezaji huyo.

Akinukiliwa na gazeti la Hispania la Marca, Hernandez alisema kuwa kocha LVG alimuita kuzungumza nae...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA:Watford dhidi ya Man United

Baada ya mapumziko ya wiki moja,ligi ya Uingereza inaendelea wikendi hii ambapo Manchester United inamenyana na Watford.

 

9 years ago

Bongo5

Paul Scholes: Nisingeweza kucheza Man United, kwa mfumo wa Louis van Gaal

scholes-615580Kiungo wa zamani wa Manchester United na England, Paul Scholes ameendelea kumtetea nahodha wa Manchester United Wayne Rooney na kudai kuwa ni vigumu kwa straika yeyote yule kufunga kwa mfumo na staili ya Van Gaal. Paul Scholes amesema amecheza na washambuliaji nguli duniani wakiwemo Rud Van Nisterlooy, Yorke na Teddy Sheringham lakini akasisitiza kuwa mfumo […]

 

11 years ago

GPL

Pluijm aweka rekodi ya pekee Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya juzi Jumamosi kuiongoza Yanga kuitandika Ruvu Shooting mabao 7-0, Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amefanikiwa kuandika rekodi ya pekee kwa muda mfupi akiwa na klabu hiyo kuliko makocha wengine wa kigeni waliowahi kuifundisha timu hiyo. Pluijm ambaye alijiunga na Yanga hivi karibuni akichukua mikoba ya Mholanzi mwenzake, Ernie Brandts, ameweza...

 

10 years ago

Michuzi

ASHA BUI MWANAMKE PEKEE KUCHEZA FILAMU MSITUNI

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Aisha Bui, amedai kuwa alijitoa maisha yake kutoka na filamu yake ya Mshale wa Kifo, kutokana na sinema hiyo kutengeneza porini katika msitu hatari wenye wanyama wakali.

Msanii huyo amedai alifanya hivyo kufuatia maoni ya wapenzi wa filamu ambao kila siku wanalalamika kwa kusema kuwa filamu zetu nyingi zimekuwa za mijini tu, huku baadhi ya matukio yakirudiwa kila katika sinema hizo jambo ambalo limekuwa likiongelewa mara kwa mara.

“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa aweka wazi utajiri wake

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng’ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 50 pekee wanapomiliki asilimia 50 ya ardhi ya wilaya

Unajua kuwa migogoro ya ardhi imekuwa ikiongezeka nchini kila kukicha hata baadhi ya maeneo zaidi ya asilimia 50  ya ardhi kumilikiwa na watu wachache?

 

11 years ago

Mwananchi

Kardinali Pengo aweka wazi msimamo wa Kanisa

Siku mbili baada ya Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) kutoa waraka wa kulitaka Bunge Maalumu la Katiba kutopuuza mapendekezo ya muundo wa serikali tatu, Askofu Mkuu wa Jimbo Mkuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka na kusema msimamo huo siyo wa Kanisa Katoliki nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana aweka wazi sifa za watakaochaguliwa kuwania urais

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema, wagombea wa nafasi mbalimbali wasiona mvuto na kukubalika hawatoteuliwa na chama kuwania nafasi yoyote ikiwamo urais katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani