Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka chombo maalumu kufumua mfumo dume

CHOMBO maalumu ni njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume hivyo kuwa nyuma kiuchumi na kiuongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli ashauriwa kufumua mfumo wa elimu

Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Dk John Magufuli, imeshauriwa kufumua mfumo wa elimu nchini kisha uchambuliwe na kuusuka upya ili kuleta tija kwa walengwa.     

 

10 years ago

Habarileo

Walemavu wataka chombo huru

Mwenyekiti wa SHIVYAWATA, Amon MpanjuWATU wenye ulemavu nchini wamepongeza juhudi za Serikali katika utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki Watu wenye ulemavu wa mwaka 2009, na kutaka changamoto zilizobaki ziundiwe chombo huru chenye mamlaka kuratibu masuala ya watu hao.

 

10 years ago

Vijimambo

MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?


NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi.

Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii itachota baadhi ya vipengele kutoka kwenye vitabu vya dini ili...

 

10 years ago

GPL

MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME-2

Karibuni tena Jumanne ya leo ambapo tunakutana kuzidi kupeana elimu mbalimbali kuhusu maisha na mapenzi. Mada yetu inasema; wanaume wana haki na mfumo dume?’  Mada hii inatoka wiki iliyopita ambapo tuliishia pale wanaume wanagombana na wake zao, kwa hasira wanawamwagia maji ya moto mpaka kuwaunguza vibaya sana. Nikasema huo si mfumo dume. Ni unyama uliopitiliza. Na nikasema hata mimi napinga vikali. Wiki hii ninaendelea...

 

10 years ago

GPL

MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?

NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi. Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mfumo dume wadhihirika bungeni Kenya

Wabunge wanaume wamependekeza kuwa sio lazima mume kumuomba ruhusa mke wa kwanza anapotaka kuoa mke wa pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo dume bado unatawala wanawake

MFUMO dume ulioota mizizi katika jamii kwa kisingizio cha mila, desturi na dini unachangia kwa kiasi kikubwa katika unyanyasaji wa mtoto wa kike na mwanamke nchini. Tangu enzi za mababu,...

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo dume bado waathiri familia nyingi

FAMILIA nyingi bado zipo katika tabaka la mfumo dume, ambao unachangia kwa asilimia kubwa kuendelea kuwepo kwa idadi ya watoto wa mitaani na waishio katika mazingira hatarishi.

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo dume chanzo cha matatizo Afrika -Sumaye

ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema changamoto nyingi za Afrika zimetokana na mfumo uliopo ambao unawaacha nyuma wanawake ambao ndio wanaoguswa zaidi na changamoto hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani