Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWALIMU LYIMO: Tunahitaji chombo huru cha kusimamia elimu

WAKATI akisoma hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2014-2015 bungeni mjini Dodoma hivi karibuni; Waziri Kivuli Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ashauri kuundwa chombo kusimamia Katiba

MJUMBE wa Kamati ya Afrika ya Wataalamu wa Haki na Ustawi wa Mtoto Dk Clement Mashamba ameshauri kuundwa kwa chombo maalum cha kusimamia utekelezaji wa Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Walemavu wataka chombo huru

Mwenyekiti wa SHIVYAWATA, Amon MpanjuWATU wenye ulemavu nchini wamepongeza juhudi za Serikali katika utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki Watu wenye ulemavu wa mwaka 2009, na kutaka changamoto zilizobaki ziundiwe chombo huru chenye mamlaka kuratibu masuala ya watu hao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mamlaka ya elimu yatoa ufadhili wa milioni 300 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K.Nyerere

user comment

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Bw. Joel Laurent akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar Es Salaam kuhusu mikakati ya mamlaka hiyo katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini kupitia Mfuko wa Elimu. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage.

2

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mwalimu Julius K Nyerere Prof. Dominic Kambarage (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu anogesha mahafali ya 10 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

 Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Thomas Katebalilwe akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 10 ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi.  Mkuu wa chuo hicho, Profesa Shadrack Mwakalila akielezea mafanikio ya chuo.  Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Thomas...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwalimu apongezwa kwa kusimamia maabara

IMG_0929

Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Sengerema, Bw. Hassan Moshi, akiwa nje ya jengo la maabara la shule ya sekondari ya sekondari Iligamba iliyoko kata ya Bupandwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza.

Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Sengerema, Bw. Hassan Moshi amempongeza mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya sekondari Iligamba iliyoko kata ya Bupandwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kwa kusimamia vyema swala la ujenzi wa maabara katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa urais Malawi: Chombo cha habari cha serikali kinasema upinzani unaongoza

Matokeo rasmi hayajatangazwa lakini chombo cha habari cha serikali kimetangaza kuwa Lazarus Chakwera anaelekea kushinda.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Ummy Mwalimu ataka halmashauri ya Kinondoni kusimamia sheria za Mazingira

1

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty(kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu wakati wa ziara ya kujifunza masuala ya usimamizi wa taka zinazozalishwa katika halmashauri hiyo.

Hussein Makame-MAELEZO

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa kata za halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za kusimamia mazingira kwani kufanya hivyo watafanikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ataka chombo cha wanawake

UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani