Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wazembe CCM kusimamishwa uanachama

Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya mkoani Mara, kimewaagiza madiwani wake kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo la sivyo watasimamishwa uanachama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MALALAMIKO: Lembeli ataka madiwani wazembe Kahama wazomewe

>Mbunge wa Jimbo la Kahama, James Lembeli amewataka wananchi kuwazomea madiwani wazembe wasioleta maendeleo yaliyo ndani ya uwezo wao.

 

9 years ago

GPL

MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza rasmi kujivua uanachama ndani ya CCM bila kusema anaelekea chama gani huku akidai kuwa, CCM imepoteza dira.

 

9 years ago

Mwananchi

Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kutokana na chama kupoteza dira.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka CCM ijihoji Kingunge kujivua uanachama

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru kutangaza kujivua uanachama, wasomi waliohojiwa na gazeti hili wamepokea uamuzi huo kwa hisia tofauti, baadhi wakisema CCM imepoteza mtu muhimu na inatakiwa itafakari upya mwenendo wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza awang’akia wanaotaka atimuliwe uanachama CCM

>Mwakilishi wa Jimbo la Uzini (CCM), Mohamed Raza Dharamsi amesema hakuna kifungu wala mwongozo wowote wa CCM unaomzuia mwanachama kutotumia demokrasia ya kukosoa ikiwemo muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM

Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]

The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO

NAJIVUA UANACHAMA WA CCMNdugu zangu,
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...

 

5 years ago

Michuzi

CHADEMA YATIKISIKA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilaya ya Kilombero wamejivua uanachama wa Chadema hicho  na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara CHADEMA, Mashaka Mbilinyi, Diwani kata ya Mbasa ,Chiza  Shungu, Mwenyekiti wa kamati huduma za Jamii Ifakara, Digna Nyangile, Diwani Viti Maaalum Ifakara, Antony Mwampunga Kamanda wa Red Briged wilaya Kilombero, Clarens  Manyota na Baraka Masala.

Wanachama hao wapya...

 

5 years ago

CCM Blog

CHADEMA YAPATA MAAFA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM


Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Bushiru Ali akimpa mkono  Mbunge wa viti Maalum wa wilaya  ya kilombero Dkt.Getrude Lwakatare  wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi mbalimbali ya Chama hicho mkoani Morogoro wengine ni viongozi wa Mkoa wa Chama hicho.
Morogoro TanzaniaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilaya ya Kilombero wamejivua uanachama wa Chadema hicho  na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani