Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA ACHUMBIWA, ABWAGWA

Stori: Imelda Mtema
STAA wa sinema za Kibongo, Wastara Juma ametoboa kuwa, kuna wanaume kibao walimchumbia kwa nyakati tofauti, lakini wakabadilisha uamuzi huo na hivyo kumfanya aendelee kubaki mpweke. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mbunge Chadema abwagwa

MBUNGE anayemaliza muda wake, Salvatory Machemli, amekuwa Mbunge wa kwanza wa jimbo kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kubwagwa kwenye kura za maoni zinazoendelea ndani ya chama hicho.

Machemli, aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe mkoani Mwanza, alijikuta akishindwa kupata kura za kutosha katika uchaguzi huo uliofanyika juzi mjini Nansio, Ukerewe.

Awali, uongozi wa Chadema Makao Makuu ulikuwa na mapendekezo kwamba wabunge wa majimbo wa chama hicho wapite bila kupingwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joyce Banda abwagwa rasmi Malawi

HATIMAYE Profesa Peter Mutharika ameapishwa rasmi jana kuwa Rais wa Malawi baada ya kumbwaga aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda. Licha ya kucheleweshwa matokeo ya uchaguzi uliogubikwa na madai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Penny achumbiwa, amsahau Diamond

HATIMAYE aliyekuwa mpenzi wa staa wa muziki wa Bongo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ amesema amepona maumivu ya moyo baada ya kuvishwa pete ya uchumba. Penny ambaye...

 

10 years ago

GPL

MDOGO WA KIM KARDASHIAN ACHUMBIWA

Mdogo wa mtangazaji maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian, Kylie Jenner. New York, Marekani
MDOGO wa mtangazaji maarufu wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian, Kylie Jenner amevalishwa pete kisiri na mchumba wake ambaye ni rapa, Tyga. Pete aliyovishwa na mpenzi wake, Tyga. Chanzo makini kinafunguka kuwa, bidada huyo mwenye miaka 17 amekuwa na amani tele… ...

 

10 years ago

Bongo5

Flaviana Matata achumbiwa, Russell Simmons ampongeza

Flaviana Matata hayupo tena sokoni. Mwanamitindo huyo wa kimataifa amechumbiwa weekend hii. Flavy ameshare habari hiyo njema kwenye mtandao wa Instagram kwa kuweka picha inayoonesha kidole chake cha chanda ambacho kimevishwa pete ya uchumba. “I said YES,” aliandika Flavy kwenye picha hiyo. Mwanzilishi wa label ya Def Jam Records, Russell Simmons aka Uncle Rush ni […]

 

11 years ago

GPL

PENNY ACHUMBIWA, AONESHA PETE YA UCHUMBA INSTAGRAM

Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha EFM Radio , Penniel Mwingilwa 'VJ Penny'.
Penniel Mwingilwa amepost kwenye Instagram picha inayoonesha mkono wake wa kushoto ukiwa juu ya usukani wa gari ambao una pete katika kidole cha chanda. “Mdogo hicho nini kwenye kidolee?? Kabla sijaanza kurukaruka kwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani