Penny achumbiwa, amsahau Diamond
HATIMAYE aliyekuwa mpenzi wa staa wa muziki wa Bongo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ amesema amepona maumivu ya moyo baada ya kuvishwa pete ya uchumba. Penny ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyRU5PRpbp2qDp6tBaYlX81SMCnHONKVSioJ759r5bzWvgjaqKnMrq1g*Ku1V5X9dm5E0SBchHR4FqDHztlA9zRA/penny.jpg)
PENNY ACHUMBIWA, AONESHA PETE YA UCHUMBA INSTAGRAM
Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha EFM Radio , Penniel Mwingilwa 'VJ Penny'.
Penniel Mwingilwa amepost kwenye Instagram picha inayoonesha mkono wake wa kushoto ukiwa juu ya usukani wa gari ambao una pete katika kidole cha chanda. “Mdogo hicho nini kwenye kidolee?? Kabla sijaanza kurukaruka kwa…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzqz2FX8pUyCfsICZYEwu38zOBzedWN3Kl8gLvWSkOzRxKsVkBmcBfwpkMZ8tCQsmP7Z0-H7FF00NseXDlRaQ9Rf/1.jpg?width=650)
DIAMOND,PENNY WAMWAGANA!
Stori: shakoor jongo na mayasa mariwata
NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wamemwagana, Risasi Jumamosi limemwagiwa upupu.
...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7srtJq4yFC6vclZvdG9PccSnjyQUAc9T2Zez9GbNSDlC6tLAc56Xbx6*Wemfz0TRdCCMsjBV7g*kKirjypVl-GE/wema.jpg)
PENNY, WEMA WAMKEJELI DIAMOND
Stori: Imelda Mtema Mastaa wawili hapa Bongo ambao huko nyuma walikuwa katika bifu kali, Wema Sepetu na Penny Mwingilwa wameonekana kumkejeli aliyekuwa mpenzi wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kutumia neno Project. Staa wa bongo Penny Mwingilwa, 'penny'. Mastaa hao walionekana wameweka picha yao wakiwa pamoja wamejilaza chini nyumbani kwa Wema na kuandika kuwa wakiwa katika Project yao neno ambalo lilitumiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yL8HtAgalmLKyrCERuZ-0vwRqFyEFsqyKjUIw3QbqNJoc0p2O1iBGpLh33kHYIS*mq7gdGFpUk1V43vum6pKhGW/penny.jpg)
PENNY: SITAKI KUMSIKIA DIAMOND
Stori: Gladness Mallya
ZILIPENDWA wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’, amefunguka kuwa hataki kumsikia mpenzi wake huyo wa zamani kwa madai kuwa amefungua ukurasa mpya wa uhusiano na mtu ambaye hata hivyo hakuwa tayari kumweka wazi. Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’. Penny alisema hayo hivi karibuni jijini Dar wakati akizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrghuWpV4P9lh9WJppApIuqrG1KYwaLxAM0*iMOtLi8iKTouqAgPg1Yw93nUV7PPLrxA3DXqywb4ZWZ1aR3eEALKT/a.jpg)
PENNY LIVE NA MRITHI WA DIAMOND
Mwandishi wetu/ijumaawikienda
Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi. Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa na Swedi. Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5B5eIV65DDFpRtw6pi7tD-u4rNCXNFEjYKr14rdvx-MNwwzVSPGEGtaVxIRo5Tlou-XnrZVfAIZx0odk7ubBF5/FRONTAMANI7010.gif)
DIAMOND, PENNY MZOZO UPYA
WAANDISHI WETU/Amani11
IMEVUJA! Ile mimba ya aliyekuwa Mtangazaji wa Efm Radio, Penieli Mungilwa ‘Penny’ ambayo ilijulikana alipachikwa na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imezua mzozo upya baada ya kuvuja kwa madai mengine. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Chanzo makini kimeliambia Amani kwamba, tofauti na madai ya Diamond kwamba Penny alitoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2P5YMZ14eu4bcDXUJTfRrnXfEHemNoRbTDhJlqrOZtl1SJwTp3hDa6i9gv2VrKCtMJqau5f5lyzb3Sg4f*siY-N/diamond.jpg?width=650)
WEMA, PENNY WAIPASUA FAMILIA YA DIAMOND
Stori: GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAH BOOOM! Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili Bongo, mwigizaji Wema Isaac Sepetu na mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wanadaiwa kuipasua familia ya kinara wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili. Wema akiwa na Diamond Platinum. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu na familia hiyo kuna...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Id2Wb1jeFL2jJ8Fc2UWC5XT2-EfEupUNWa6YNAgeHiC2iRaUKpH1vZl4SQ1mvKFeyzZOEtPtNa6A4EwaxmRYvf/penny.jpg?width=650)
PENNY: DIAMOND KAMA CHIZICHIZI VILE!
Stori: Imelda Mtema na Erick Evarist
MTANGAZAJI wa Runinga ya Channel Ten, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa sifa ya aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni kama chizichizi lakini kwa undani zaidi ni mtu makini. Penniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Penny alifunguka hayo mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa Wikienda hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7rkN2vGHVmxXwORjnWyVOz0tkwG3dgeMpK9VNB-Kb2rvPf4RejQb0KLwEmhHgZFWPuOy6nVNDm0pwINyXh2LOiU/diamond.jpg)
PENNY: DIAMOND HANA CHAKE, NIMESHAPOSWA
Stori: Chande Abdallah na Mayasa Mariwata
MTANGAZAJI aliyewahi kujiachia kimalovee na Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema mwanamuzi huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi kumpata tena. Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’. Kauli ya mwanadada huyo ilikuja baada ya kuulizwa kama anaafikiana na kauli ya mama wa Wema Sepetu, Miriam Sepetu kwamba, kwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania