Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kubadilishwa mitaala kunachangia kufeli’

KUBADILISHWA kwa mitaala ya kufundishia shule za Msingi na Sekondari nchini, ni miongoni mwa sababu za wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao ya kuhitimu kutokana na mkanganyiko kwenye mitaala...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Michepuo, tahasusi kubadilishwa

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inapitia upya michepuo na tahasusi, kwa kile kilichoelezwa ni kuwezesha ufundishaji kwenda na wakati. Michepuo na tahasusi hizo mpya za kidato cha kwanza mpaka cha nne, pia na za kidato cha tano hadi sita, zitaanza kutumika katika mwaka wa masomo 2015/16.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pasi za kusafiria kubadilishwa

IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...

 

11 years ago

Habarileo

Mfumo wa kuvuna misitu kubadilishwa

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema itabadili mfumo wa utoaji wa vibali vya uvunaji wa miti (magogo) katika misitu ya taifa nchini. Mpango wa wizara hiyo ni kutaka vibali vitolewe kwa mzunguko ili kuwanufaisha Watanzania wengi tofauti na ilivyo hivi sasa. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mahmoud Mgimwa aliyasema hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na wapiga kura wake mjini Mafinga katika jimbo la Mufindi Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sera juu ya mateka kubadilishwa Marekani

Rais Barack Obama ametoa tamko la kubadilishwa kwa sera za nchi yake katika kubadilishana mateka ambao ni raia wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria za migodi sasa kubadilishwa nchini

Serikali inaendelea na majadiliano na wawekezaji wa migodi mikubwa nchini ili kubadilisha baadhi ya vifungu vya sheria, kanuni na sera vilivyomo katika mikataba isiyoinufaisha nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wapinga kijiji chao kubadilishwa

WAKAZI wa Kijiji cha Chamakweza Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, ambao wengi wao ni wafugaji wameweka kambi kwa muda usiojulikana wakipinga kijiji chao kuingizwa kwenye mipango mji. Wakizungumza kwa nyakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wanachangia watoto kufeli

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita Tanzania imekuwa na rekodi nzuri ya kupanua wigo wa elimu kuanzia idadi ya wanafunzi, walimu na miundombinu.

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli

IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.

 

11 years ago

Mwananchi

Kufeli mitihani si mwisho wa safari, jipange

Februari mwaka huu, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani