Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli

IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha

DSC01412

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa  wa shule hiyo, Margreth Missanga.

Na Nathaniel Limu, Singida

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa: Walimu Monduli wahojiwe wanafunzi kufeli

 Edward LowassaALIYEKUWA Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewaagiza viongozi wa vijiji vyote vya wilaya ya Monduli mkoani Arusha kuitisha mkutano mkuu wa kijiji na kuwahoji walimu, madiwani na maofisa elimu juu ya kufanya vibaya kwa matokeo ya darasa la saba katika wilaya hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mikakati pekee kuwaokoa wanafunzi na janga la kufeli sayansi

Wanafunzi wengi wa sekondari wamekuwa wakifeli katika masomo ya sayansi ukilinganisha na masomo mengine.

 

11 years ago

Habarileo

Aeleza kiini cha ajali ya MV Kilimanjaro

MAWASILIANO duni kati ya Mamlaka ya Usafiri wa Baharini na nahodha wa meli ya MV.Kilimanjaro 11, yanadaiwa kwa kiasi kikubwa yamechangia vikosi vya uokozi, kushindwa kufika katika eneo la ajali kwa haraka.

 

11 years ago

Habarileo

Kiini cha majengo mabovu chatajwa

UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra kiini cha ajali barabarani

WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel SittaWAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ajali za barabarani zinachangiwa na uzembe wa taasisi inayosimamia sekta ya usafiri jambo linalogharimu maisha ya watu wasio na hatia, na kuitaka taasisi hiyo kuchukua hatua na kuhakikisha nidhamu inarejea kwenye sekta hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea

Wanasayansi nchini Ufaransa wasema virusi vya Ugonjwa wa Ebola ndio chanzo cha ugonjwa wa homa ya Haemorajic nchini Guinea

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kombe la Dunia lisiwe kiini cha michepuko

MACHO na masikio ya mamilioni ya watu duniani kote kwa sasa yako kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil, ambako jumla ya nchi 32 zinachuana kumpata mfalme mmoja tu...

 

10 years ago

Mwananchi

Sekta ya Viwanda: Kiini cha maendeleo Tanzania

Kwa mujibu wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, sekta ya viwanda ndiyo hasa inayoshikilia ufunguo wa maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini kutokana na uwezo wake wa kutengeneza ajira nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani