Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati pekee kuwaokoa wanafunzi na janga la kufeli sayansi

Wanafunzi wengi wa sekondari wamekuwa wakifeli katika masomo ya sayansi ukilinganisha na masomo mengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli

IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa: Walimu Monduli wahojiwe wanafunzi kufeli

 Edward LowassaALIYEKUWA Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewaagiza viongozi wa vijiji vyote vya wilaya ya Monduli mkoani Arusha kuitisha mkutano mkuu wa kijiji na kuwahoji walimu, madiwani na maofisa elimu juu ya kufanya vibaya kwa matokeo ya darasa la saba katika wilaya hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha

DSC01412

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa  wa shule hiyo, Margreth Missanga.

Na Nathaniel Limu, Singida

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?

Baadhi ya mikakati inayotumiwa na wanawake kukabiliana na janga la corona kwa nchi zinazoongozwa na wanawake

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wahimizwa masomo ya sayansi

WANAFUNZI wa shule mbalimbali nchini wametakiwa kujifunza masomo ya sayansi kutokana na umuhimu wake katika ugunduzi wa vitu ili kusaidia taifa kimaendeleo. Imeelezwa kuwa idadi kubwa ya wanafunzi na walimu...

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi waaswa kusoma sayansi

kinanaNa Patricia Kimelemeta, Muleba
WANAFUNZI wametakiwa kupenda kusoma masomo ya sayansi waweze kupata fursa ya ajira wanapomaliza masomo yao, jambo ambalo linaweza kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana alikuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyakatanga wilayani Muleba wakati wa kukabidhi kompyuta zitakazotumika kwa ajili ya masomo ya sayansi.
Alisema hatua hiyo itawasaidia kuingia kwenye soko la ushindani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Cadaver: Maiti zinazotumiwa na wanafunzi wa sayansi ya tiba

>Mwaka 335-280 nchini Ugiriki kabla ya kuzaliwa kwa Kristo alitokea mwanasayansi nchini humo aitwaye Herophilus, huyu ndiye mtu wa kwanza kujenga mafunzo juu ya maumbile ya mwanadamu, kitaalamu ‘Anatomy’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani