Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Walimu Monduli wahojiwe wanafunzi kufeli

 Edward LowassaALIYEKUWA Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewaagiza viongozi wa vijiji vyote vya wilaya ya Monduli mkoani Arusha kuitisha mkutano mkuu wa kijiji na kuwahoji walimu, madiwani na maofisa elimu juu ya kufanya vibaya kwa matokeo ya darasa la saba katika wilaya hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.

 Lowassa ambaye alirejelea kauli yake ya kwamba yeye si tajiri bali ni tajiri wa marafiki, alichangia shilingi milioni tatu kwa ajili ya sare za shule kwa wanafunzi ambao nguo zao ziliteketea. 
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.Mmiliki wa kiwanda kikubwa cha A to Z cha Arusha,Anoji Shah (aliesimama) akiwaeleza wanafunzi wa shule...

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli

IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO

Akizungumza na waandishi wa habari aliyekuwa katibu wa umoja wa wanawake wa {UWT} chama cha mapinduzi wilaya ya Serengeti Anna Mathayo Chacha alisema kuwa lowasa  ndie chaguo lao kwa kuwa ni kiongoziwanayeamini kuwa ataivusha nchi kutoka hapa ilipo ikiwa ni pamoja na kukipa heshima  na nguvu chama.Mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi wilaya ya Serengeti Daniel Kegocha ambaye pia ni diwani aliomba chama hicho kuona umuhimu wa kumpitisha jina la Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mikakati pekee kuwaokoa wanafunzi na janga la kufeli sayansi

Wanafunzi wengi wa sekondari wamekuwa wakifeli katika masomo ya sayansi ukilinganisha na masomo mengine.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha

DSC01412

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa  wa shule hiyo, Margreth Missanga.

Na Nathaniel Limu, Singida

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...

 

10 years ago

Vijimambo

Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Matui wilayani Kiteto, amefariki dunia darasani baada ya kudaiwa kuchapwa viboko na walimu watatu wa shule hiyo, kwa kile kilichodaiwa kufeli mtihani wa Kiswahili. Polisi wilayani na mkoani Manyara, wanamshikilia mwalimu mmoja baada ya wenzake kukimbia baada ya tukio.Akizungumza jana, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Kanali Samwel Nzoka alimtaja mwanafunzi huyo aliyepoteza maisha kuwa ni Noel Bichima (15).Kanali Nzoka alisema tukio hilo...

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa gets hero’s welcome in Monduli

Police and other security officers had a difficult time to control hundreds of thousands of Monduli residents who turned out at Police grounds here to welcome Chadema presidential candidate, Mr Edward Lowassa for a campaign rally in his home constituency.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani Monduli wamsikitisha Lowassa

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameelezea kusikitishwa kwake na utendaji usioridhisha wa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, akitolea mfano kushindwa kutekeleza maamuzi ya vikao vya Baraza la Madiwani.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa awekwa mtu kati Monduli

Kiongozi wa madiwani 19 wa ccm,  Julius KalangaWAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani