Lowassa gets hero’s welcome in Monduli
Police and other security officers had a difficult time to control hundreds of thousands of Monduli residents who turned out at Police grounds here to welcome Chadema presidential candidate, Mr Edward Lowassa for a campaign rally in his home constituency.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
11 years ago
Habarileo22 Jun
Madiwani Monduli wamsikitisha Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameelezea kusikitishwa kwake na utendaji usioridhisha wa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, akitolea mfano kushindwa kutekeleza maamuzi ya vikao vya Baraza la Madiwani.
10 years ago
Habarileo19 Jul
Lowassa awekwa mtu kati Monduli
WAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.
11 years ago
MichuziLowassa akagua ujenzi wa hospital Monduli
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Lowassa amsifu JK kumaliza tatizo la maji Monduli
10 years ago
Habarileo23 Dec
Lowassa: Walimu Monduli wahojiwe wanafunzi kufeli
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Edward Lowassa amewaagiza viongozi wa vijiji vyote vya wilaya ya Monduli mkoani Arusha kuitisha mkutano mkuu wa kijiji na kuwahoji walimu, madiwani na maofisa elimu juu ya kufanya vibaya kwa matokeo ya darasa la saba katika wilaya hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wA1HC18z8_8/U9OVw9YXu1I/AAAAAAABEIY/FNIGnRdhi8Q/s72-c/IMG-20140726-WA0005.jpg)
MHE LOWASSA AWAANDALIA FUTARI WAUMINI WA MONDULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-wA1HC18z8_8/U9OVw9YXu1I/AAAAAAABEIY/FNIGnRdhi8Q/s1600/IMG-20140726-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fX-xeow1dfc/U9OVss87UZI/AAAAAAABEHw/yAMb3r7HJo4/s1600/IMG-20140726-WA0001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KMfSyghxUxA/U9OVxZTruKI/AAAAAAABEIc/Hz7G59pkowI/s1600/IMG-20140726-WA0004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TmLFdgE_sRY/U9OVxSJ4Y8I/AAAAAAABEIU/53tfN0WaIWM/s1600/IMG-20140726-WA0006.jpg)
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa: Safari ya matumaini bado inaendelea Monduli
NA FREDY AZZAH, MONDULI
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema safari ya matumaini ilianzia Monduli Mkoa wa Arusha na itaishia Monduli.
Kutokana na hali hiyo amewataka wananchi wapendane kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.
Lowassa aliyasema hayo jana kwa nyakati tofauti kwenye mikutano yake ya kampeni katika Jimbo la Monduli.
Akiwa Monduli mjini kwenye mkutano uliofanyika katika uwanja wa polisi ambako ndiko nyumbani kwake, Lowassa...