Aeleza kiini cha ajali ya MV Kilimanjaro
MAWASILIANO duni kati ya Mamlaka ya Usafiri wa Baharini na nahodha wa meli ya MV.Kilimanjaro 11, yanadaiwa kwa kiasi kikubwa yamechangia vikosi vya uokozi, kushindwa kufika katika eneo la ajali kwa haraka.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 May
Sumatra kiini cha ajali barabarani
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema ajali za barabarani zinachangiwa na uzembe wa taasisi inayosimamia sekta ya usafiri jambo linalogharimu maisha ya watu wasio na hatia, na kuitaka taasisi hiyo kuchukua hatua na kuhakikisha nidhamu inarejea kwenye sekta hiyo.
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kiini cha majengo mabovu chatajwa
UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
10 years ago
Habarileo01 Jan
Mitandao kiini cha wanafunzi kufeli
IMEELEZWA kuwa chanzo cha wanafunzi wengi kufeli masomo yao ni kutokana na kutumia muda wao mwingi kwenye masuala ya utandawazi, hasa mitandao, badala ya kujisomea.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kitafutwe kiini cha vurugu katika chaguzi
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Ebola ni kiini cha ugonjwa hatari Guinea
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Sekta ya Viwanda: Kiini cha maendeleo Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Kombe la Dunia lisiwe kiini cha michepuko
MACHO na masikio ya mamilioni ya watu duniani kote kwa sasa yako kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil, ambako jumla ya nchi 32 zinachuana kumpata mfalme mmoja tu...
10 years ago
Habarileo03 Feb
Kamati ya Bunge yaeleza kiini cha migogoro ya ardhi
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema ni vijiji 1,000 tu kati ya 11,000 vilivyopo nchini ndivyo vyenye mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo linalosababisha kuwapo kwa migogoro ya ardhi.
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Tanzania yatajwa tena kama kiini cha ujangili
![Ndovu wa Afrika wako katika hatari ya kumalizwa kwa kutokana na ujangili.](http://gdb.voanews.com/CBEDF54B-B871-4801-BE3A-14D29CBD17CF_w640_r1_s.jpg)
Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa Alhamisi yanaonyesha maeneo hao mawili ni Tanzania, ikifuatiwa na eneo la nchi kadha katika eneo la magharibi ya kati barani Afrika.
Samuel Wasser, mmoja wa waandishi wa ripoti...