Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA MUHIMU - PASI YA KUSAFIRIA (TANZANIA PASSPORT)



Jumuiya inapenda kuwatangazia watanzania wa eneo la 'Washington State' na maeneo ya Idaho, Oregon.kujiandikisha kwa wingi wale wote wenye kuhitaji kuomba PASSPORT MPYA YA TANZANIA kama ifuatavyo:Siku ya mwisho kujiandikisha ni Tarehe 5/6/2015 (June 5th, 2015)Siku ya kuonana na Ofisa wa Uhamiaji kutoka Ubalozi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kwa ajili ya maombi hayo ni Tarehe 26/6/2015 - Taarifa ya pahala itatolewa rasmi..Tafadhali wasiliana na wafuatao kujiandikisha rasmi:Emil Muta -...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pasi za kusafiria kubadilishwa

IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...

 

5 years ago

Michuzi

Watanzania kulipia gharama za pasi za kusafiria kwa kutumia Airtel Money


Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar (kati kati) na Mdhibiti wa Pasipoti Kamishna Msaidizi Dorah Luoga (kulia) wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Isaack Nchunda wakionyesha bango baada ya pamoja kusaidia ushirikiano ambapo kwa sasa Watanzania wataweza kulipia pasipoti kwa kutumia Airtel Money.
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar akizungumza wakati wa kuzindua ushirikiano baina ya...

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Seattle wakipata picha ya kumbukumbu na Afisa wa Ubalozi Bi. Swahiba (aliyekaa kwenye kiti) alipokua Seattle jimbo la Washington kwa ajili ya kutoa huduma ya kuongeza muda kwa pasi za kusafiria za Watanzania wanaoishi jimbo hilo na majimbo jirani.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Seattle, Bwn. Mutta na familia yake wakisaidiwa na Afisa Ubalozi Bi. Swahiba jinsi ya kujaza fomu na utiaji wa alama za vidole kwenye karatasi kwa ukamilishaji wa kuongezeza muda...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UJIO WA AFISA KUTOKA UBALOZI TANZANIA CANADA, VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS PASSPORT RENEWALS

NAPENDA KUWATAARIFU WATANZANIA WANAOISHI GREATER VANCOUVER AREA, KWAMBA TAREHE 27 HADI 28 NOVEMBA 2015, AFISA KUTOKA UBALOZI WA TANZANIA CANADA (OTTAWA), ATAKUWA MJINI VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS APPLICATIONS KWA AJILI YA PASSPORT RENEWAL. 
UJIO HUU UTAGHARAMIWA NA WATANZANIA WATAKAOHITAJI KURENEW PASSPORT ZAO, GHARAMA HIZI NI FLIGHT NA HOTELI. KWA MAWASILIANO ZAIDI TAFADHALI WASILIANA NA PHILIP MWIMANZI KUPITIA NAMBA YA SIMU 16046521864. NI VIZURI TUKAWASILIANA ASAP ILI TUJUE...

 

5 years ago

Bongo5

Taarifa muhimu kuhusu Hisa za Vodacom Tanzania

Kumekuwa na taarifa za upotoshaji katika mitandao ya kijamii kuhusu thamani halisi ya hisa za Vodacom (VTL). Kwa mfano, ujumbe uliosambazwa tarehe 19 Aprili umedai kuwa bei ya TZS 850 kwa hisa ni mara 3.8 zaidi ya thamani halisi ya hisa hizi. Kufikia hapo, mwandishi alikokotoa thamani ya vitabuni ya rasilimali za kampuni, akatoa dhima (madeni), na kudai kuwa albaki ndiyo thamani halisi ya hisa za wamiliki wote wa kampuni. Njia hii ni potofu, na inaonyesha ni kwa kiwango gani mwandishi...

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania plans to adopt e-passport

Tanzania intends to replace the current normal passports with the technologically savvy e-passport, it was announced yesterday.

 

10 years ago

Vijimambo

Maombi ya Passport mpya za Tanzania

Jumuiya inapenda kuwatangazia watanzania wa eneo la 'Washington State' na maeneo ya Idaho, Oregon.kujiandikisha kwa wingi wale wote wenye kuhitaji kuomba PASSPORT MPYA YA TANZANIA kama ifuatavyo:Siku ya mwisho kujiandikisha ni Tarehe 5/6/2015 (June 5th, 2015)Siku ya kuonana na Ofisa wa Uhamiaji kutoka Ubalozi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kwa ajili ya maombi hayo ni Tarehe 26/6/2015 - Taarifa ya pahala itatolewa rasmi..Tafadhali wasiliana na wafuatao kujiandikisha rasmi:Emil Muta -...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA PASSPORT RENEWAL IN THE US — 2015

Dates: May 9 – 10, 2015 (Saturday & Sunday)

Location: 591 N. Main Street Alpharetta GA 30009

Fees: $70 Money Order (Passport Fees & FedEx return)

Service Cost: $30/person.

All Tanzanians living GA, AL, SC, NC, TN, FL & nearby states are welcome.

For more information and requirements visit: http://tanzaniaembassy-us.org/?page_id=79


RSVP to guarantee spot: http://bit.ly/1JMQ5q1

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA PASSPORT RENEWAL — 2015

Dates: May 9 – 10, 2015 (Saturday & Sunday)

Location: 591 N. Main Street Alpharetta GA 30009

Fees: $70 Money Order (Passport Fees & FedEx return)

Service Cost: $30/person.

All Tanzanians living GA, AL, SC, NC, TN, FL & nearby states are welcome.

For more information and requirements visit: http://tanzaniaembassy-us.org/?page_id=79

RSVP to guarantee spot: http://bit.ly/1JMQ5q1



For any question please contact TAA:  watanzania.atlanta@gmail.com

Tel: 678-362-8238 or...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani