TAARIFA MUHIMU - PASI YA KUSAFIRIA (TANZANIA PASSPORT)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X_IWm85lEDQ/VFNK5Y06bBI/AAAAAAADL70/UpE_ezkoeYU/s72-c/Tanzania%2BSeattle.jpg)
Jumuiya inapenda kuwatangazia watanzania wa eneo la 'Washington State' na maeneo ya Idaho, Oregon.kujiandikisha kwa wingi wale wote wenye kuhitaji kuomba PASSPORT MPYA YA TANZANIA kama ifuatavyo:Siku ya mwisho kujiandikisha ni Tarehe 5/6/2015 (June 5th, 2015)Siku ya kuonana na Ofisa wa Uhamiaji kutoka Ubalozi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kwa ajili ya maombi hayo ni Tarehe 26/6/2015 - Taarifa ya pahala itatolewa rasmi..Tafadhali wasiliana na wafuatao kujiandikisha rasmi:Emil Muta -...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Pasi za kusafiria kubadilishwa
IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rLXTcM7Z7Sk/XmEZN5K7CBI/AAAAAAALhXk/Oh_YK8-Xpvo4I8gUpqmMTiOXeJUH7vMrwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1608a75-4479-4edf-ac3f-6505e39afe13.jpg)
Watanzania kulipia gharama za pasi za kusafiria kwa kutumia Airtel Money
![](https://1.bp.blogspot.com/-rLXTcM7Z7Sk/XmEZN5K7CBI/AAAAAAALhXk/Oh_YK8-Xpvo4I8gUpqmMTiOXeJUH7vMrwCLcBGAsYHQ/s640/d1608a75-4479-4edf-ac3f-6505e39afe13.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar (kati kati) na Mdhibiti wa Pasipoti Kamishna Msaidizi Dorah Luoga (kulia) wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Isaack Nchunda wakionyesha bango baada ya pamoja kusaidia ushirikiano ambapo kwa sasa Watanzania wataweza kulipia pasipoti kwa kutumia Airtel Money.
![](https://1.bp.blogspot.com/-t6DeTUVX5Ss/XmEZWrTg5HI/AAAAAAALhXo/4XBbney01QIiv6GrXF9tIIS_oRuaojHfgCLcBGAsYHQ/s640/231ec532-8228-4122-997b-c2ee77a7eea7.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar akizungumza wakati wa kuzindua ushirikiano baina ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yoVurHFH2zU/VZDrRlFyM1I/AAAAAAADuU4/n5kp4mY0vao/s72-c/12c641dc7fdbbd135ebd70d4c2487cf0.jpg)
AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yoVurHFH2zU/VZDrRlFyM1I/AAAAAAADuU4/n5kp4mY0vao/s640/12c641dc7fdbbd135ebd70d4c2487cf0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b0LOIl5n2CU/VZDrVFPl6uI/AAAAAAADuV4/mYIQpA9tWe4/s640/eea9a346d0c9ac6c2e1edbf975130565.jpg)
9 years ago
Michuzi13 Nov
TAARIFA YA UJIO WA AFISA KUTOKA UBALOZI TANZANIA CANADA, VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS PASSPORT RENEWALS
UJIO HUU UTAGHARAMIWA NA WATANZANIA WATAKAOHITAJI KURENEW PASSPORT ZAO, GHARAMA HIZI NI FLIGHT NA HOTELI. KWA MAWASILIANO ZAIDI TAFADHALI WASILIANA NA PHILIP MWIMANZI KUPITIA NAMBA YA SIMU 16046521864. NI VIZURI TUKAWASILIANA ASAP ILI TUJUE...
5 years ago
Bongo514 Feb
Taarifa muhimu kuhusu Hisa za Vodacom Tanzania
Kumekuwa na taarifa za upotoshaji katika mitandao ya kijamii kuhusu thamani halisi ya hisa za Vodacom (VTL). Kwa mfano, ujumbe uliosambazwa tarehe 19 Aprili umedai kuwa bei ya TZS 850 kwa hisa ni mara 3.8 zaidi ya thamani halisi ya hisa hizi. Kufikia hapo, mwandishi alikokotoa thamani ya vitabuni ya rasilimali za kampuni, akatoa dhima (madeni), na kudai kuwa albaki ndiyo thamani halisi ya hisa za wamiliki wote wa kampuni. Njia hii ni potofu, na inaonyesha ni kwa kiwango gani mwandishi...
11 years ago
TheCitizen15 Mar
Tanzania plans to adopt e-passport
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-X_IWm85lEDQ/VFNK5Y06bBI/AAAAAAADL70/UpE_ezkoeYU/s72-c/Tanzania%2BSeattle.jpg)
Maombi ya Passport mpya za Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-X_IWm85lEDQ/VFNK5Y06bBI/AAAAAAADL70/UpE_ezkoeYU/s640/Tanzania%2BSeattle.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4heGmvDqp08/VUl-lLO8c_I/AAAAAAAHVoU/4yw8z54Q2Tc/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
TANZANIA PASSPORT RENEWAL IN THE US — 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-4heGmvDqp08/VUl-lLO8c_I/AAAAAAAHVoU/4yw8z54Q2Tc/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
RSVP to guarantee spot: http://bit.ly/1JMQ5q1
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-njNYB4J1MHY/VUiNclH_AeI/AAAAAAADmDk/ncdKZ93DgCM/s72-c/passport%2B(1).jpg)
TANZANIA PASSPORT RENEWAL — 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-njNYB4J1MHY/VUiNclH_AeI/AAAAAAADmDk/ncdKZ93DgCM/s640/passport%2B(1).jpg)
For any question please contact TAA: watanzania.atlanta@gmail.com Tel: 678-362-8238 or...