Hati ya kusafiria iliyopotea kulipiwa 200,000
IDARA ya Uhamiaji nchini imeongeza ada kwa waombaji wa hati ya kusafiria zilizopotea kutokana na kubaini kuwa wamiliki wa hati hizo wengi wao wamekuwa wakitoa taarifa za uongo ikiwa ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Dec
Wananchi wahimizwa kutunza hati za kusafiria
WATANZANIA wametakiwa kutunza hati zao za kusafiria kwani endapo zitapotea na kuchukuliwa na wahalifu wa kimataifa itasababisha wahalifu hao kuingia kwa urahisi nchini na kufanya uhalifu.
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Vyeti vilivyopotea kulipiwa sh. 100,000
NA RACHEL KYALA
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa nakala za vyeti kwa watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa gharama ya sh. 100,000.
Utaratibu huo utawanufaisha watahiniwa waliohitimu kuanzia mwaka 2008, ambao vyeti vyao viliwekwa picha.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, akizungumza jijini Dar es Salaam jana, alisema hatua hiyo itapunguza changamoto zilizokuwa zikiwakabili watahiniwa waliopoteza vyeti vyao kwa sababu mbalimbali.
"Baraza limeweka...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viwanja 200 Moshi kufutiwa hati
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Dk. Mayunga: Viwanja 1200, 000 havina hati
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Sellasie Mayunga amesema kati ya viwanja 1,816,009, vilivyopimwa kati ya hivyo vyenye hati ni 586,000 tu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam jana kabla ya makabidhiano ya ofisi ya Naibu Katibu Mkuu mpya, Dk. Moses Kusiluka ambaye hata hivyo hakuhudhuria makabidhiano hayo, Dk. Mayunga alisema ufinyu wa bajeti katika wizara hiyo, unachangia kuzorota kwa baadhi ya kazi, ingawa kuna...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tani 200,000 za silaha zateketezwa
TANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Kassim: Sh 200,000 ziliniondoa bandarini
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa Bongo Fleva, Kassim Mganga, amesema kabla hajaanza kufanya muziki alikuwa mfanyakazi wa kupokea na kutoa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam, lakini kipaji chake cha muziki kilimwachisha kazi hiyo kutokana na ujira mkubwa aliokuwa akipata kupitia muziki wake.
Kassim alisema kwa mwezi alikuwa akilipwa Sh 200,000 kwa kazi ya bandarini lakini katika onyesho lake moja la muziki alipata Sh 500,000 ndipo akaamua kuacha kazi ya bandari na kuendelea na...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80354000/jpg/_80354734_80354705.jpg)
VIDEO: Malawi floods displace 200,000
9 years ago
Mwananchi07 Jan
200,000 kukosa pa kuishi Dar sababu ya bomoabomoa
11 years ago
Bongo511 Aug
Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!