Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!

Familia ya Bongo5 imeendelea kukua kwa kasi. Jumatatu hii, ukurasa wetu wa Facebook umefikisha zaidi ya likes 200,000. “Siku ya leo imeshuhudia kufikiwa kwa hatua muhimu kwa timu yetu na hasa kupitia ukurasa wetu wa Facebook. Kihesabio cha likes hapo juu kimevuka alama ya 200,000,” yamesema maelezo ya Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group, Luca […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Facebook kuwakomesha wezi wa' Likes'

Mtandao wa kijamii wa Facebook umeahidi kujitahidi kukabiliana na uuzaji na ununuzi wa 'Likes' bandia kwenye mtandao huo.

 

11 years ago

GPL

JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK HAPA

Kwa wasomaji wetu wote ambao bado hamjajiunga na ukurasa wa Global Publishers Facebook tunaomba bofya hapa kujiuuga nasi >> GLOBAL PUBLISHERS

 

10 years ago

Bongo5

TLC watembeza bakuli kukusanya fedha kurekodi album ya mwisho, zaidi ya $200,000 zachangwa

Ikiwa ni siku sita tu tangu waanzishe kampeni yao waliyoipa jina, Kickstarter, kundi la TLC limekusanya zaidi ya dola $200,000. T-Boz na Chilli walianzisha kampeni hiyo ili kuchangisha $150,000 kwaajili ya kurekodi album yao ya tano na ya mwisho. Hadi Ijumaa, walikuwa wamekusanya zaidi ya $205,000 na bado wana siku 26 za kuendelea kukusanya michango. […]

 

11 years ago

Bongo5

Shakira avunja rekodi kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha ‘likes’ milioni 100 Facebook

Muimbaji Shakira wa Colombia ameweka rekodi mpya kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook. Mwezi March mwimbaji huyo wa ‘Can’t remember to forget you’ alitajwa kuwa ‘most-liked musician on Facebook’ kwa kumzidi kidogo Rihanna. Wakati huo alikuwa na likes milioni 86.3. Kusheherekea mafanikio hayo Shakira amepost video […]

 

11 years ago

GPL

JIUNGE NA UKURASA WETU WA FACEBOOK KUJISHINDIA ZAWADI HAPA

JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZA MJINI >> GLOBAL PUBLISHERS

 

11 years ago

Vijimambo

HUU NDIO UKURASA WA FACEBOOK WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA LEO

Juhudi zinaendelea kuwatafuta waandaaji wa Miss Tanzania ili waweze kuthibitisha habari hizi

 

10 years ago

Vijimambo

ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA

Juma Mwapachu
I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...

 

11 years ago

Michuzi

SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK

KAMA BADO HUJALIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULIKE UKURASA WETU KWA KUFUATA KIUNGANISHI HIKIhttps://www.facebook.com/tztmt ukishalike ukurasa wetu fuata hatua hizo chini Ukurasa wetu ukifunguka Unaonekana kama Picha inavyoonyesha juu hapo Utafata hatua ya Kwanza kama ilivyoonyeshwa kwenye picha hizo.Ukishamaliza kumpigia kura mshiriki umpendae kwa kubofya kitufe kilichoandikwa VOTE utapokea ujumbe mfupi kwenye kioo chako na utakuwa tayari ushampigia kuraHatimae...

 

11 years ago

Michuzi

HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK

1 (5) Honey akiwa amepozi pembeni ya kikapu maalum cha wapendanao, kilichosheheni zawadi mbali mbali. Na.Mwandishi wetu Honey Kaur Mair, ni msichana mwenye bahati. Bila shaka sikukuu yake ya wapendanao ilimalizika kwa furaha baada ya yeye na mumewe kuibuka kidedea wa shindano lililoandaliwa na kudhaminiwa na METL la Valentines Day Special Competition kupitia ukurasa wao wa Facebook. Pamoja na kuzawadia kikapu maalum cha wapendanao kilichosheheni zawadi kem kem, pia wapenzi hawa walipatiwa vocha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani