Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!
Familia ya Bongo5 imeendelea kukua kwa kasi. Jumatatu hii, ukurasa wetu wa Facebook umefikisha zaidi ya likes 200,000. “Siku ya leo imeshuhudia kufikiwa kwa hatua muhimu kwa timu yetu na hasa kupitia ukurasa wetu wa Facebook. Kihesabio cha likes hapo juu kimevuka alama ya 200,000,” yamesema maelezo ya Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group, Luca […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Oct
Facebook kuwakomesha wezi wa' Likes'
Mtandao wa kijamii wa Facebook umeahidi kujitahidi kukabiliana na uuzaji na ununuzi wa 'Likes' bandia kwenye mtandao huo.
11 years ago
GPL
JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK HAPA
Kwa wasomaji wetu wote ambao bado hamjajiunga na ukurasa wa Global Publishers Facebook tunaomba bofya hapa kujiuuga nasi >> GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Bongo525 Jan
TLC watembeza bakuli kukusanya fedha kurekodi album ya mwisho, zaidi ya $200,000 zachangwa
Ikiwa ni siku sita tu tangu waanzishe kampeni yao waliyoipa jina, Kickstarter, kundi la TLC limekusanya zaidi ya dola $200,000. T-Boz na Chilli walianzisha kampeni hiyo ili kuchangisha $150,000 kwaajili ya kurekodi album yao ya tano na ya mwisho. Hadi Ijumaa, walikuwa wamekusanya zaidi ya $205,000 na bado wana siku 26 za kuendelea kukusanya michango. […]
11 years ago
Bongo519 Jul
Shakira avunja rekodi kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha ‘likes’ milioni 100 Facebook
Muimbaji Shakira wa Colombia ameweka rekodi mpya kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook. Mwezi March mwimbaji huyo wa ‘Can’t remember to forget you’ alitajwa kuwa ‘most-liked musician on Facebook’ kwa kumzidi kidogo Rihanna. Wakati huo alikuwa na likes milioni 86.3. Kusheherekea mafanikio hayo Shakira amepost video […]
11 years ago
GPL
JIUNGE NA UKURASA WETU WA FACEBOOK KUJISHINDIA ZAWADI HAPA
JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZA MJINI >> GLOBAL PUBLISHERS
11 years ago
Vijimambo.jpg)
HUU NDIO UKURASA WA FACEBOOK WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA LEO
.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Aug
ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA

I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...
11 years ago
Michuzi
SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK
KAMA BADO HUJALIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULIKE UKURASA WETU KWA KUFUATA KIUNGANISHI HIKIhttps://www.facebook.com/tztmt ukishalike ukurasa wetu fuata hatua hizo chini
Ukurasa wetu ukifunguka Unaonekana kama Picha inavyoonyesha juu hapo Utafata hatua ya Kwanza kama ilivyoonyeshwa kwenye picha hizo.



Ukishamaliza kumpigia kura mshiriki umpendae kwa kubofya kitufe kilichoandikwa VOTE utapokea ujumbe mfupi kwenye kioo chako na utakuwa tayari ushampigia kuraHatimae...






11 years ago
Michuzi20 Feb
HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania