TLC watembeza bakuli kukusanya fedha kurekodi album ya mwisho, zaidi ya $200,000 zachangwa
Ikiwa ni siku sita tu tangu waanzishe kampeni yao waliyoipa jina, Kickstarter, kundi la TLC limekusanya zaidi ya dola $200,000. T-Boz na Chilli walianzisha kampeni hiyo ili kuchangisha $150,000 kwaajili ya kurekodi album yao ya tano na ya mwisho. Hadi Ijumaa, walikuwa wamekusanya zaidi ya $205,000 na bado wana siku 26 za kuendelea kukusanya michango. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
11 years ago
Bongo511 Aug
Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!
9 years ago
Bongo516 Oct
Destiny’s Child kurekodi album mpya, asema baba yake Beyoncé
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani
9 years ago
Bongo513 Oct
Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja
9 years ago
StarTV23 Oct
Mikakati Ya taifa stars wa kukusanya fedha waanza.
Kamati ya Ushindi ya Taifa Stars, imeanzisha kampeni ya kitaifa kukusanya fedha kuichangia timu hiyo kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2018 dhidi ya Algeria. Mbali na mchezo huo, pia fedha zitakazopatikana zitatumika katika masoko na uhamasishaji kwa ajili ya michezo yote ya mashindano itakayoshiriki Taifa Stars. Katika kampeni hiyo kamati inatarajia kukusanya jumla ya shilingi bilioni mbili iwapo kila Mtanzania atachangia kwa hiari shilingi mia moja....
9 years ago
Bongo528 Sep
Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart
9 years ago
Bongo513 Oct
Album mpya ya Janet Jackson ‘Unbreakable’ yaweka rekodi kwenye chati za Billboard 200
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s72-c/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
TANAPA KUKUSANYA ZAIDI YA 2.5BN/- KAMPENI YA KUHAMASISHA UTALII YA NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s640/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi zake 16 linakusudia kukusanya zaidi ya 2.5bn/- katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea hifadhi za taifa...