Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja
Albert Mangwair alikuwa ni rapper genius, kwa mujibu wa Izzo Bizness. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo amesema alifahamiana na Ngwair tangu yuko Mbeya kabla ya kuja kumshirikisha kwenye ngoma yake ‘Ball Player’ wakiwa na Quick Rocka. “Ngwair ni mtu ambaye nilisema angeamua, angekuja kuvunja historia ya muziki labda Tanzania,” anasema Izzo. “Alikuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMC ZIPOMPA NAYE ANUSURIKA AJALINI, ALIKUWA GARI MOJA NA TYSON!
10 years ago
GPL11 Mar
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-AJha9igZd6E/XuOV3f6AVJI/AAAAAAACNGo/UiU8DdUxZRI4s3ixaYvLpL7hE3lhHItaQCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1591973215652.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
JESHI LA POLISI NCHINI WATHIBITISHA MBOWE ALIKUWA AMELEWA CHAKALI KIASI CHA KUSHINDWA KUTAMKA MANENO SIKU ANAYODAI KUSHAMBULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gcKZahZiKRM/XuOUDTgnDpI/AAAAAAALtnU/VOcNld52jYsY00bNsDc39w9v6Nntw65xACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
*Pia alikwenda kwa mzazi mwenzie Mbunge wa Viti Maalum Joyce Nkya
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za starehe zinazouza vileo ikiwemo ya...
9 years ago
Bongo519 Nov
Album ya Adele, 25 yavuja siku moja kabla ya kuachiwa rasmi
![Adele-Vogue--e1445253839377](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-Vogue-e1445253839377-300x194.jpg)
“Hello,” good news! album ya Adele iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imevuja yote mtandaoni Jumatano hii ikiwa imebaki siku moja tu itoke rasmi, Ijumaa hii.
Mashabiki wengi wa muimbaji huyo mwenye miaka 27 wameoneshwa kufurahishwa kuipata albamu hiyo mapema. Hata hivyo wapo wanaodai wataisubiri wapate nakala halisi kwa kununua.
Wimbo wa kwanza kutoka kwenye album hiyo ni Hello uliopata mafanikio makubwa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram...
9 years ago
Bongo521 Sep
Izzo Bizness awashirikisha Mwana FA na G-Nako