Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIUNGE NA UKURASA WETU WA FACEBOOK KUJISHINDIA ZAWADI HAPA

JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZA MJINI >> GLOBAL PUBLISHERS

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JIUNGE NA UKURASA WETU FACEBOOK HAPA

Kwa wasomaji wetu wote ambao bado hamjajiunga na ukurasa wa Global Publishers Facebook tunaomba bofya hapa kujiuuga nasi >> GLOBAL PUBLISHERS

 

11 years ago

Michuzi

SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK

KAMA BADO HUJALIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULIKE UKURASA WETU KWA KUFUATA KIUNGANISHI HIKIhttps://www.facebook.com/tztmt ukishalike ukurasa wetu fuata hatua hizo chini Ukurasa wetu ukifunguka Unaonekana kama Picha inavyoonyesha juu hapo Utafata hatua ya Kwanza kama ilivyoonyeshwa kwenye picha hizo.Ukishamaliza kumpigia kura mshiriki umpendae kwa kubofya kitufe kilichoandikwa VOTE utapokea ujumbe mfupi kwenye kioo chako na utakuwa tayari ushampigia kuraHatimae...

 

11 years ago

Bongo5

Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!

Familia ya Bongo5 imeendelea kukua kwa kasi. Jumatatu hii, ukurasa wetu wa Facebook umefikisha zaidi ya likes 200,000. “Siku ya leo imeshuhudia kufikiwa kwa hatua muhimu kwa timu yetu na hasa kupitia ukurasa wetu wa Facebook. Kihesabio cha likes hapo juu kimevuka alama ya 200,000,” yamesema maelezo ya Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group, Luca […]

 

9 years ago

Bongo5

Mshindi wa #TecnoOwntheStage kujishindia shilingi milioni 55 na zawadi zingine kibao

Tcno

Mshindi wa shindano la kusaka vipaji kwa kuimba nyimbo za karaoke, Tecno Own The Stage Show ataenda nyumbani na kitita cha $25,000 ambacho ni zaidi ya shilingi milioni 55.

Tcno

Shindano hilo linaloendelea, linahusisha washiriki kutoka Tanzania, Kenya na Nigeria.

Pamoja na kiasi hicho cha fedha, mshindi atarekodi wimbo na jaji/mwalimu wake pamoja na kufanyika video kubwa.

Pia ataungana na msanii maarufu miongoni maw majaji wa shindano hilo kwenye show zake. Atazawadiwa pia simu mpya ya 
Tecno...

 

10 years ago

Vijimambo

HUU NDIO UKURASA WA FACEBOOK WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA LEO

Juhudi zinaendelea kuwatafuta waandaaji wa Miss Tanzania ili waweze kuthibitisha habari hizi

 

9 years ago

Michuzi

WASOMAJI WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS KUJISHINDIA NYUMBA, PIKIPIKI, TV NA ZAWADI NYINGINE NYINGI.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya uzinduzi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global.Wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya...

 

9 years ago

Vijimambo

ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA

Juma Mwapachu
I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...

 

11 years ago

Michuzi

HONEY KAUR MAIR AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA VALENTINES DAY SPECIAL LILILOANDALIWA NA MeTL KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK

1 (5) Honey akiwa amepozi pembeni ya kikapu maalum cha wapendanao, kilichosheheni zawadi mbali mbali. Na.Mwandishi wetu Honey Kaur Mair, ni msichana mwenye bahati. Bila shaka sikukuu yake ya wapendanao ilimalizika kwa furaha baada ya yeye na mumewe kuibuka kidedea wa shindano lililoandaliwa na kudhaminiwa na METL la Valentines Day Special Competition kupitia ukurasa wao wa Facebook. Pamoja na kuzawadia kikapu maalum cha wapendanao kilichosheheni zawadi kem kem, pia wapenzi hawa walipatiwa vocha...

 

10 years ago

Michuzi

TAWI LA FACEBOOK YANGA LAWAJAZA ZAWADI NIYONZIMA, NGASSA NA DIDA


Wachezaji wa Yanga wakiwa wameshika zawadi walizopewa na tawi la Facebook lenye makazi yake Buguruni jijini Dar es Salaam, baada ya kukabidhiwa kama shukurani kwa kushika nafasi ya pili kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam


Wachezaji wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tawi la Facebook

Mwenyekiti wa Tawi la Facebok Josephat Sinzobakwilaakiongea na wachezaji na benchi la ufundi la Yanga

Kocha wa Yanga, Pluijn akikabidhiwa zawadi yake na mlezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani