Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kassim: Sh 200,000 ziliniondoa bandarini

Kassim MgangaNA CHRISTOPHER MSEKENA

NYOTA wa Bongo Fleva, Kassim Mganga, amesema kabla hajaanza kufanya muziki alikuwa mfanyakazi wa kupokea na kutoa mizigo kwenye bandari ya Dar es Salaam, lakini kipaji chake cha muziki kilimwachisha kazi hiyo kutokana na ujira mkubwa aliokuwa akipata kupitia muziki wake.

Kassim alisema kwa mwezi alikuwa akilipwa Sh 200,000 kwa kazi ya bandarini lakini katika onyesho lake moja la muziki alipata Sh 500,000 ndipo akaamua kuacha kazi ya bandari na kuendelea na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tani 200,000 za silaha zateketezwa

 Katibu Mkuu wa EAC, Richard SeziberaTANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Malawi floods displace 200,000

More than 170 people are killed and 200,000 displaced by torrential rain and flooding in Malawi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hati ya kusafiria iliyopotea kulipiwa 200,000

IDARA ya Uhamiaji nchini imeongeza ada kwa waombaji wa hati ya kusafiria zilizopotea kutokana na kubaini kuwa wamiliki wa hati hizo wengi wao wamekuwa wakitoa taarifa za uongo ikiwa ni...

 

9 years ago

Mwananchi

200,000 kukosa pa kuishi Dar sababu ya bomoabomoa

Operesheni ya bomoabomoa inayoendelea kwa waliojenga nyumba mabondeni jijini Dar es Salaam itawaacha zaidi ya watu 200,000 wakiwa hawana makazi.

 

11 years ago

Bongo5

Ukurasa wa Facebook wa Bongo5 wafikisha zaidi ya likes 200,000!

Familia ya Bongo5 imeendelea kukua kwa kasi. Jumatatu hii, ukurasa wetu wa Facebook umefikisha zaidi ya likes 200,000. “Siku ya leo imeshuhudia kufikiwa kwa hatua muhimu kwa timu yetu na hasa kupitia ukurasa wetu wa Facebook. Kihesabio cha likes hapo juu kimevuka alama ya 200,000,” yamesema maelezo ya Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group, Luca […]

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

The Conversation Africa

Fossil find suggests _Homo erectus_ emerged 200,000 years earlier than thought

Fossil find suggests _Homo erectus_ emerged 200,000 years earlier than thought  The Conversation AfricaThree human-like species lived side-by-side in ancient Africa  BBC NewsFossil skull reveals new overlap between ancient human species  New AtlasAll who wander are not lost  Science MagazineFossil skulls rewrite the stories of two ancient human ancestors  National GeographicView Full coverage on Google News

 

5 years ago

ScienceAlert

Incredible Fossil Find Hints Homo Erectus Emerged 200,000 Years Earlier Than Thought

Incredible Fossil Find Hints Homo Erectus Emerged 200,000 Years Earlier Than Thought  ScienceAlert

 

10 years ago

Bongo5

TLC watembeza bakuli kukusanya fedha kurekodi album ya mwisho, zaidi ya $200,000 zachangwa

Ikiwa ni siku sita tu tangu waanzishe kampeni yao waliyoipa jina, Kickstarter, kundi la TLC limekusanya zaidi ya dola $200,000. T-Boz na Chilli walianzisha kampeni hiyo ili kuchangisha $150,000 kwaajili ya kurekodi album yao ya tano na ya mwisho. Hadi Ijumaa, walikuwa wamekusanya zaidi ya $205,000 na bado wana siku 26 za kuendelea kukusanya michango. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani