Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


200,000 kukosa pa kuishi Dar sababu ya bomoabomoa

Operesheni ya bomoabomoa inayoendelea kwa waliojenga nyumba mabondeni jijini Dar es Salaam itawaacha zaidi ya watu 200,000 wakiwa hawana makazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI

Nikukaribishe msomaji katika ukurasa wetu huu ambao tumekuwa tukijuzana mambo mengi ya msingi katika ustawi wa afya zetu. Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la wanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tuliangalia sababu na dalili za tatizo hilo la mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa tukashauriana mambo ya msingi ya kuzingatia ili kuondokana na tatizo hilo. Leo ningependa tuangalie suala la mwanamke kukosa...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI-2

KARIBU msomaji wangu katika ukurasa huu ambao tumekuwa tukifundishana mengi yahusuyo afya zetu na tukipeana elimu ya kuboresha afya zetu. Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la mwanamke kukosa hedhi na tukazipitia baadhi ya sababu au vyanzo vya mwanamke kukosa hedhi. Napenda kukukumbusha kuwa mwanamke  kukosa siku zake au hedhi kumegawanyika katika makundi mawili. Kundi la kwanza ni wale wanaokosa siku zao kwa kawaida bila...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA-2

Pamoja na kwamba tatizo hili halijitokezi sana kwa wanaume ukilinganisha na wanawake, inakadiriwa kuwa asilimia 15 hadi 16 ya wanaume wana tatizo hili, ni sawa na uwiano wa mwanaume mmoja mwenye tatizo hili katika kila wanaume sita au saba. Idadi ya wanawake wenye tatizo hili ni mara mbili ya wanaume.  Tatizo hili huwakera zaidi wanaume kuliko wanawake kwa sababu wanaume huchukulia urijali kama sehemu ya ukamilifu wao na...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Natumai utakuwa u mzima wa afya kabisa. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama ilivyo kwa wanawake.
Katika makala haya tutaaangalia kwa kina sababu za tatizo hili kwa wanaume na athari zake na mwisho tutajifunza njia za kutatua au kuondokana na tatizo hili. Mwili wa mwanadamu uliumbwa ukiwa na matamanio na si mbaya kama...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA-3

Mpenzi msomaji, leo naendelea kuelezea mambo yanayowafanya wanaume wakose hamu ya tendo la ndoa. Tumeshaona kwamba upungufu wa homoni inayoitwa Testosterone unasababisha kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Matatizo mengine katika mfumo wa homoni huchangia tatizo hili. Kama Thyroid haitoi homoni za kutosha, tatizo hili huweza kutokea ingawa mchango wa Thyroid katika tatizo hili ni mdogo sana. Thyroid ni kiungo cha kuzalisha...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 4

Baada ya wiki iliyopita kuelezea mambo kadhaa yanayosababisha wanaume kukosa hamu ya tendo la ndoa, leo nitaelezea tatizo la kuwahi kufika kileleni Katika vitu ambavyo wanaume wengi hawapendi vijulikane na wenzi wao ni tatizo la kuwahi kufika kileleni. Kila mwanaume hupenda aonekane ni rijali au mwanaume kamili mwenye uwezo wa kushiriki tendo la ndoa bila shida yoyote. Na imezoeleka katika jamii zetu ikiwa mwanaume atakuwa ana...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 5

Msomaji wetu tunaendelea na mada yetu kuhusiana na sababu zinazowafanya baadhi ya wanaume kutokuwa na hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Virutubisho ndani ya vyakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni Antioxidants, vitamin C, vitamin E, Potassium na zinc. Kirutubisho cha zinc kinaongeza mbegu kwa mwanaume (sperm count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula vyovyote vyenye virutubisho hivi vikiliwa humfanya...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Natumai muwazima wa afya. Leo katika mada yangu hii, nataka kuzungumzia zaidi sababu za wanaume wengi kukosa hamu ya tendo la ndoa. Kama ilivyo matatizo mengine, tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa kama ilivyo kwa wanawake. Katika makala haya, tutaangalia kwa kina sababu za tatizo hili kwa wanaume na athari zake. Mwili wa mwanadamu uliumbwa na matamanio na si...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura

Ni wazi kwamba mpango wa uandikishaji wapigakura kwenye Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa BVR umegubikwa na malalamiko kutoka kila eneo ambako uandikishwaji umefanywa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani