Pamoja na kustaafu soka Rene Higuita bado ana uwezo wa kuokoa goli kwa style yake ya Scorpion kick (+Video)
Golikipa wa zamani wa kimataifa wa Colombia Rene Higuita ambaye amewahi kuingia katika headlines mwaka 1995 katika mechi ya kirafiki kati ya Colombia dhidi ya Uingereza kwa stahili yake ya kipekee ya uokoaji mipira kwa stahii ya “Scorpion kick” stahili ambayo hakuna kipa ambaye amewahi kuicheza kwa ufasaha na katika mechi muhimu. Kwa sasa golikipa huyo ambaye […]
The post Pamoja na kustaafu soka Rene Higuita bado ana uwezo wa kuokoa goli kwa style yake ya Scorpion kick (+Video) appeared...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Unaikumbuka hii ya mshika kibendera kushangilia goli na mchezaji kwa kucheza Gangnam Style? (+Video)
Achana na mzuka wa goli wakati mwingine unaweza jikuta unashangilia pasipo kupenda, unakumbuka headlines za marefa kushangilia magoli, unakumbuka ile hit single ya Gangnam Style ya msanii wa Korea PSY ambayo ilikuwa katika headlines za Dunia kwa kila mtu kuipenda. Licha ya kuwa wengi walikuwa wanaichukulia kama ya comedy. Naomba nikusogezee video ya muda kidogo ambayo […]
The post Unaikumbuka hii ya mshika kibendera kushangilia goli na mchezaji kwa kucheza Gangnam Style? (+Video) appeared...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-HBTjuirbCEo/VXdHBmA1rII/AAAAAAAACAI/x9eL1r6A11Q/s72-c/david_beckham-759.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Nini tatizo kwa viungo wachezeshaji? uwezo mdogo wa kutegeneza pasi za goli
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Kwa wanaofikiria Ivo Mapunda mzee, ukimuuliza kuhusu stori za kustaafu soka atakujibu hivi (+Audio)
Headlines za golikipa mkongwe ambaye amewahi kucheza katika vilabu vya Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Ivo Mapunda kuhusu suala la umri wake na lini atastaafu soka limeingia katika headlines kwa mara nyingine tena baada ya wengi kuona ameajili na Azam FC kwa mkataba wa muda mfupi, hivyo huenda […]
The post Kwa wanaofikiria Ivo Mapunda mzee, ukimuuliza kuhusu stori za kustaafu soka atakujibu hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi18 Nov
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Hizi ndio style 8 za nywele walizotamba nazo mastaa wa soka kwa mwaka 2015
Haya mtu wangu wa nguvu wakati tunaendelea kusherehekea sikuku ya mwaka mpya 2016, ninayo list ya style 9 za nywele zilizotamba kwa mastaa wa soka wa Ulaya kwa mwaka 2016. Stori kutoka 101greatgoals.com inawatala mastaa hawa ndio waliokuwa na style za nywele zilizotamba. Miongoni mwa mastaa waliotajwa ni Iniesta, Raheem Sterling na Paul Pogba. 1- […]
The post Hizi ndio style 8 za nywele walizotamba nazo mastaa wa soka kwa mwaka 2015 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo08 Dec
Canavaro kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa, Nadir Haroub au maarufu kama Canavaro amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu, licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.
9 years ago
Habarileo07 Dec
Canavaro atangaza kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Steven Gerrard kustaafu soka 2016
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.
Na Rabi Hume
Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.
Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...