miss tanga 2014 awasaidia vifaa vya shule wanafunzi wasio na uwezo
MREMBO wa mkoa wa Tanga 2014/15,Diana Festo ametoa zawadi za vifaa vya shule kwa wanafunzi wasio jiweza katika shule za msingi Wilayani Pangani,ili kufanikisha azma yake ya kuwataka wanafunzi kutambua umuhimu wa elimu na kuweka juhudi na kuzingatia masomo..
Shule ambazo zilipata nafasi ya kutembelewa na Mrembo huyo na kufanikiwa kupata vifaa hivyo ni ni shule ya msingi Pangani,Funguni, Mwela na shule ya msingi Mwembeni ambazo zote zinapatikana katika wilaya hiyo ya Pangani,huku vifaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wanafunzi wasio na uwezo kulipiwa ada
SERIKALI kupitia halmashauri zote nchini ina mpango wa kuwasaidia na kuwalipia ada na michango mingine wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo. Kauli hiyoilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu na...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Bei za vifaa vya shule zapanda kiholela Tanga
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mtemvu atoa msaada wa tani 5 za vyakula kwa vikundi vya wasio na uwezo Temeke, Dar
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, akimkabidhi msaada wa vyakula, Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam, wakati wa hafla ya Mtemvu kukabidhi msaada wa tani tano ya vyakula kwa vituo na vya watoto wanaoishi latika, mazingira magumu na wasiojiweza, leo Julai 13, 2014, Temeke, Dar es Salaam.
Hamisi Ally wa Kituo cha Dar Alqama, Tandika akipokea msaada huo wa vyakula kwa niaba ya kituo hicho.
Mtemvu akimkabidhi, Aminajaat Kilemia wa Kituo cha Hiari Chang’ombe msaada wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-STypzuYFuj0/U5_tpmHUI1I/AAAAAAAFrKI/ZS5cwD3Nx-U/s72-c/images+%25281%2529.jpg)
MKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI NICE & LOVELY MISS TANGA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s72-c/unnamed+(2).jpg)
NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yV436Qx_Lfw/U6LQVDt_48I/AAAAAAAFrtg/4T7j87GsFAc/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_fvF8g0djMo/U6LQVCmDiqI/AAAAAAAFrtk/Q3n9n9OUSuo/s1600/unnamed+(4).jpg)
5 years ago
MichuziTANGA CEMENT (PLC) WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID -19 TANGA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kusaidia mapambano ya virusi vya Covid 19 kwa ajili ya Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na Jeshi la Polisi Mkoa huo kutoka kwa Mtendaji Mkazi wa Kiwanda cha Tanga Saruji cha Cement PLC Mhandisi Benedict Lema kushoto wanaoshuhudia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari kulia na kushoto Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Blasius Chatanda
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kulia akipokea msaada wa...
5 years ago
MichuziREDCROSS TANGA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MAJI TIRIRIKA UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau kulia akitokea msaada wa vifaa vya maji tiririka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania Mkoani Tanga (Red Cross) Ester Wiliam ambavyo vitatumika kuwekwa milangoni kwa ajili ya watazamaji wanaoingia kwenye uwanja huo kushuhudia michezo mbalimbali kuweza kunawa mikono ikiwa ni mapambano dhidi ya Covid 19 kulia ni Mratibu wa Shirika hilo Sada Kombo.
MENEJA wa uwanja wa CCM Mkwakwani Nasoro Makau akinawa mikono mara...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE