Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK- Wakwapuaji dawa yao inakuja

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali inafanyia kazi utaratibu wa kufunga mfumo wa kuona matukio yote yanayoendelea jijini hapa ili kupunguza tatizo la uhalifu.Akizungumza jana katika uzinduzi wa Barabara ya Mwenge-Tegeta, alisema suluhisho la wizi wa miundombinu ya barabara na kukwapua mali za wananchi, linakuja kwa kuwa kila litakalofanyika litaonekana.“Hawa wezi wa miundombinu na ukwapuaji kwa kutumia bodaboda dawa yao inakuja...tunajenga uwezo wa kufahamu kinachotokea...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Dawa ya migogoro ya ardhi inakuja’

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema zoezi la usajili wa ardhi linaloendelea nchini ndiyo litakaloipatia ufumbuzi migogoro ya ardhi na kuweza kuwatambua wamiliki halali pamoja na wale wavamizi.

 

11 years ago

GPL

Watakaozimia waandaliwa dawa yao

Mashabiki wa timu ya Yanga SC. Na Khadija Mngwai
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kutokana na idadi ya mashabiki waliozimia katika mechi iliyopita ya Simba dhidi ya Yanga kuwa kubwa, wameamua kuongeza magari ya wagonjwa ‘ambulance’ ikiwa ni sehemu ya kushughulikia tatizo kama hilo endapo litajitokeza katika mechi ya kesho baina ya timu hizo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.… ...

 

10 years ago

Michuzi

KAIMU MKURUGENZI BOHARI YA DAWA (MSD), AZUNGUMZIA UFUNGUAJI MADUKA YAO KARIBU NA WANANCHI


 Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), akimuelekeza jambo Ofisa Uhusiano wa MSD, Benjamin Massangya (kulia), katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifwani (kushoto), akizungumza na John Chale kuhusu kazi mbalimbali zinazpfanywa na MSD baada ya kutembelea banda la MSD katika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma katika viwanja vya Mnazi Mmoja mwishoni mwa wiki.Kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAENDESHA BODABODA KINONDONI WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA, WAKWAPUAJI SASA KUKIONA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

Raia 12 wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram na Hazir Azad, wote raia wa Iran ambao walikamatwa kwenye Bahari ya Tanzania.
Wengine ni Buksh Mohamed,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sheria ya gesi inakuja — Kikwete

unnamed (22)

Rais Jakaya Kikwete akizungumza kwenye uzinduzi wa kongamano la 19 la mwaka la utafiti liliandaliwa na taasisi ya utafiti nchini REPOA. Rais Kikwete alilisitiza kwamba utafiti nchini kwa wafanyabiashara ndogo ndogo na vijana kwa ajili ya kupambana na umaskini ni umuhimu kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Utafiti huo wa REPOA ulijikita katika mabadiliko ya uchumi na kilimo na kujenga mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ndogo ndogo na za kati na kupanua wigo wa ajira kwa vijana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Awamu ya pili inakuja

Aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema awamu ya pili ya safari yake ya kuelekea Ikulu ndio kwanza imeanza na kuwataka watu wote wanaomuunga mkono kutokata tamaa.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Mtanzania

TMA: Mvua kubwa inakuja

Dr-Agnes-Kijazi_50baeNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Utabiri wa Hali ya Hewa Tanznaia (TMA) ,imetoa tahadhari ya kuwapo kwa vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya saa 24 kati ya Januari 18 na 20 mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na mamlaka hiyo, ilisema maeneo yatakayoathirika na mvua hiyo ni pamoja na mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Lindi, Morogoro, Pwani, Dar es Salaam na Kisiwa cha Unguja.
Taarifa hiyo ilisema hali hiyo inatokana na kuimarika kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani