Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

Raia 12 wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram na Hazir Azad, wote raia wa Iran ambao walikamatwa kwenye Bahari ya Tanzania.
Wengine ni Buksh Mohamed,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kesi saba za kusafirisha dawa za kulevya zaiva

Mahakama Kuu kanda ya Moshi, imepanga kuanza kusikiliza kesi saba za jinai za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin zinawakabili washitakiwa 10 wakiwamo raia watatu wa kigeni.

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAKUNGA, KIBANDA BAADA YA KUSHINDA KESI YAO KISUTU LEO

Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda akiongea na waandishi baada ya kushinda kesi katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu. Wakili wa washitakiwa, Nyaloni Mwita akiongea na waandishi wa habari nje ya mahakama.…

 

10 years ago

Mtanzania

Mchezo mchafu kesi za dawa za kulevya

MADAWANa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KESI 18 za dawa za kulevya zilizokuwa zikisikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam zinafutwa kwa sababu zilisajiliwa kimakosa katika katika mahakama hiyo na washtakiwa wanapandishwa upya kizimbani.
Hayo yalibainika jana baada ya kesi nne kufutwa na kufanya idadi ya kesi hizo kufikia nane baada ya nne nyingine kufutwa juzi, ambapo washtakiwa walisomewa upya mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kesi zote...

 

5 years ago

Michuzi

MASHAIDI 19 KUTOA USHAIDI KESI YA DAWA ZA KULEVYA

MAHAKAMA Kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam imeelezwa kuwa jumla ha mashahidi 19 wanatarajiwa kutoa ushahidi wao katika kesi ya kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya inayomkabili Gudluck Mbowe na Ally Mtema
Wakili wa serikali Costantine Kakula amedai hayo leo Mei 22, 2020 mbele ya Jaji Immaculata Banzi wakati akiwasomea hoja za awali washtakiwa hao.
Pia wakili Kakula amedai pamoja na mashahidi hao, upande wa mashtaka utawasilisha vielelezo mbalimbali ikiwemo mabegi...

 

10 years ago

Vijimambo

HUKUMU KESI YA KESI KISUTU


NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imethibitisha kwamba mfanyabiashara Hans Macha alinunua nyumba kwa kufuata utaratibu na kihalali kutoka kwa Ramadhani Balenga.

Hayo yalithibitishwa leo kupitia hukumu iliyosomwa na Hakimu Mkazi Frank Moshi kwa niaba ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, ambaye alisikiliza kesi ya kughushi inayomkabili Macha.

Katika kesi hiyo, Macha alikuwa akikabiliwa na mashitaka matatu ya kughushi hati ya umiliki wa kiwanja kilichopo eneo ya Kigogo, Dar es...

 

9 years ago

MillardAyo

Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…

Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]

The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Michuzi

UPELELEZI KATIKA KESI YA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA ZAIDI YA KILO 270 INAYOMKABILI RAIA WA NIGERIA, WATANZANIA WAWILI BADO HAUJAKAMILIKA


Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

UPELELEZI katika kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zaidi ya kilo 270 inayomkabili Raia wa Nigeria, David Chukwu (38) na Watanzania wawili katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu bado haujakamilika.

Mbali na Chukwu ambaye ni Mkazi wa Masaki, washitakiwa wengine ni Isso Lupembe (49) Mkazi wa Mbezi na Allistair Mbele (38).

Wakili wa Serikali, Ester Martin alidai jana mbele ya Hakimu Mfawidhi Godfrey Isaya kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba...

 

10 years ago

Michuzi

CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi Abdallah Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Chid Benz amefikishwa  mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...

 

5 years ago

Michuzi

WALIOKUWA VIGOGO KAMPUNI YA ACACIA WANAOKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI WAANDIKA BARUA KULALAMIKIA UPELELEZI KUCHUKUA MUDA MREFU

 Na Karama Kenyunko Michuzi TV

ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya ACASIA Deo Mwanyika na wenzake wanaokabiliwa na mashtaka ya tuhuma za uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameandikia barua katika Mahakama ya hiyo wakilalamikia upelelezi katika kesi yao kuchukua muda mrefu.

Washtakiwa hao wamedai hayo leo Mei 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka ulioongozwa na Wakili wa Serikali Ester...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani