WALIOKUWA VIGOGO KAMPUNI YA ACACIA WANAOKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI WAANDIKA BARUA KULALAMIKIA UPELELEZI KUCHUKUA MUDA MREFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8eYzciVvY/XrVg2eKjwjI/AAAAAAALpfI/DvB6eOuaCLEtURh2sVhAVO9pkOIr4Ik_wCLcBGAsYHQ/s72-c/sheria.jpg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TV
ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya ACASIA Deo Mwanyika na wenzake wanaokabiliwa na mashtaka ya tuhuma za uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameandikia barua katika Mahakama ya hiyo wakilalamikia upelelezi katika kesi yao kuchukua muda mrefu.
Washtakiwa hao wamedai hayo leo Mei 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka ulioongozwa na Wakili wa Serikali Ester...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h0gO7sjtK70/Xk1H9HusgaI/AAAAAAALeYY/tMHmjKz2xU0hjZN4r-s_ncQXOtGTq0DGwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KTywAcDfpgo/XpbwFcYf9wI/AAAAAAALnB0/kPnmwm2T4Lww5oOt_FvedE3znlz0iR5fQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
MAHAKAMA YAAMURU UPANDE WA MASHTAKA KUKAMILISHA UPESI UPELELEZI KESI YA UHUJUMU UCHUMI YA TITO MAGOTI NA MWENZAKE
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.
Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu
WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XcXFLstrWuQ/XsfFB8DhTyI/AAAAAAALrQQ/Ymv8VuY5Oo8AqW0WFJcBDGBpIsFBwf4YQCLcBGAsYHQ/s72-c/cadb4bcc-3e61-4c51-9746-8a2bd82d70f6.jpg)
MFANYAKAZI KAMPUNI YA GLOTEL LTD APANDISHWA KIZIMBANI KWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Faraji Nguka amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Vicky Mwaikambo kuwa, kati ya Juni Mosi na Septemba 26 mwaka 2019 mshtakiwa aliiba sh. milioni 158 kutoka kwenye kampuni ya...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_P_ye_pqr0k/XpmYTegq-_I/AAAAAAALnOk/ZcQs47jPrfg_Kn1NCamocRMF8lBKOOPOgCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.15.32%2BPM.jpeg)
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s72-c/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s400/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
MAOFISA WANNE WA NEMC KIZIMBANI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TVMAOFISA wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka tisa yakiwemo ya kughushi, kula njama, utakatishaji fedha na kuisababishia Mamlaka hasara ya Sh. Milioni 18.5..
Katika hati ya mashtaka...